Bukoba vs Moshi

Bukoba vs Moshi

Status
Not open for further replies.
Jengo moja LA NSSF moshi,ni sawa na thaman ya majengo yote ya mkoa wa simiyu na vitongoji vyake
Jeki cathedral iliyopo bukoba na subiri Wamalizie bukoba shopping mall pale miembeni mtachonga viazi mbona
18f5bec66db346ba6cfa612f06d395c0.jpg
 
Leta picha ya mji wa Njombe usidanganye watu bukoba IPO vizuri sana tofauti na Njombe ambayo inafanana na muleba
 
Wachaga na kilimanjaro kwa ujumla ilikuwa vizuri sana kipindi cha Mwalimu. Lakini hakuna maendeleo yoyote tokea kipindi icho, wamebaki kupoteza muda mwingi katika kufanya michongo ya kuingia katika kazi za serikalini tofauti na kipindi kile walivyokuwa na biashara. Sasa ivi wachaga si chochote katika biashara, na iyo yoyote kutokana na Utapeli na wizi walio nao. Sasa ivi wahaya ukienda uko Burundi, Rwanda, Uganda, Kenya na Dubai na China wanafunga mizigo kuleta apa bongo. Wachaga wanakimbia kilimanjaro pale njaa tupu
Mimi sio mchaga ila kwa kabila lolote hapa bongo litachukua sio chini ya miaka 20 kuwafikia wachaga kama wakiwa hawafanyi chochote wakiwa wanawasubiria. I like them maana sio watu wenye wivu na mtu yeyote akifanikiwa tofauti na makabila mengine likiwepo la kwangu ila wahaya wakiwa viranja wetu.
 
Mimi sio mchaga ila kwa kabila lolote hapa bongo litachukua sio chini ya miaka 20 kuwafikia wachaga kama wakiwa hawafanyi chochote wakiwa wanawasubiria. I like them maana sio watu wenye wivu na mtu yeyote akifanikiwa tofauti na makabila mengine likiwepo la kwangu ila wahaya wakiwa viranja wetu.
Hapa topic ni bk vs moshi na mji haujengwi na wazawa tu. So hatuzungunzii kabila ndugu moshi na wachagga ni vitu tofauti
 
Hapa topic ni bk vs moshi na mji haujengwi na wazawa tu. So hatuzungunzii kabila ndugu moshi na wachagga ni vitu tofauti
Ilikuja issue ya wachaga na wahaya ndo maana nika comment ivo. Fwatilia original comment.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom