Bukoba vs Moshi

Status
Not open for further replies.
Hapo majengo ya nini hayo hayana kazi hizo ni hotel tumia facts na picha sio poroja tu kiswahili

Picha za Nin babu ,kwa aliefika kwa ajili ya kutembea tu hawezi kuambiwa Picha mana sikuona kitu .nimeenda bukoba nkazunguka mwisho nkaishia coffee Na li coffee lenyewe naskia lilikua Jengo la ushirika sasa ndo wakaamua Fanya hotel ,nlilala hapo cuz of wifi only Ila Sio pazuri but Ni afadhali kuliko sehem nyingine yeyote kwa bk.
 
Usinidanganye mkuu, nimekaa Kagera na nimekunywa maziwa ya Kyaka (mtindi) pamoja na Ndizi fulani tamu zilizochomwa (Gonja). Usijitoe ufahamu
Halafu bk pabaya eti achana na bk
 
Shida hela huna smart hotel,victorious, prince motel,lake view,Stella hotel,kolping,transit,walkguard,perfect,yassira,nk nk
 
Zitaje hizo bank za BK

Nyambafu Moshi Ziko bank kibao,bk Ziko bank Tatu ka Sio nne ,hapa miembeni kuna NBC,NmB iko huku karibia Na central Na crdb pia Yani ovyo tu kanisa ambalo Ni Kubwa linatazamana Na polisi sasa urban planning gani hiyo
 
Club ni nyingi sana hukupata Wa kukutembeza kwanza oksjen ilishafungwa siku hizi kuna sky motel,rwabizi,cassanova,liquid nk shida hamkubali mpaka mnaanza sema uongo bk inaizidi moshii.beach ukwenda bunena na kabuwara nadhani mliogopa milima
 
 
Kufananisha bukoba na moshi ni sasa na arusha na mbeya kiukweli moshi ipo huu tena Sana ukilinganisha na bukoba
 
nshomile buana....mna matatizo sana ninyi watu!
Ujue bro issue ilokuja hapa mchaga na mhaya ni kama maji na mafuta kila mmoja ni mjuaji na mbishi kwo kumpata winner ni ngumu labda tuwaulize watu kuja tu
Mchaga anaijua pesa lakini si mtumiaji na mhaya anaijua pesa pia ni mtumiaji.
 
karibu supu
 
Ujue bro issue ilokuja hapa mchaga na mhaya ni kama maji na mafuta kila mmoja ni mjuaji na mbishi kwo kumpata winner ni ngumu labda tuwaulize watu kuja tu
Mchaga anaijua pesa lakini si mtumiaji na mhaya anaijua pesa pia ni mtumiaji.
mimi najua wote wanapenda sana kula ndizi....lol
 
Nyambafu Moshi Ziko bank kibao,bk Ziko bank Tatu ka Sio nne ,hapa miembeni kuna NBC,NmB iko huku karibia Na central Na crdb pia Yani ovyo tu kanisa ambalo Ni Kubwa linatazamana Na polisi sasa urban planning gani hiyo
Mkuu umekosea kuniquote mimi, nimemuuliza hilo swali mleta mada
 
Una uhakika na usemalo hotel hii IPO barabara ya kwenda maruku km 5 kutoka katikati ya mji we wap labda kama za fanana
We jamaa liongo sana, utawafanya watu wapachukie Bukoba siku wakifika wakikuta unayaongopa hapa hayapo.


[HASHTAG]#JusticeForLema[/HASHTAG]
[HASHTAG]#BringBaCkBenAlive[/HASHTAG]
[HASHTAG]#PumzikaKwaAmaniDenaAmsi[/HASHTAG]
 
Sio kwamba mie ni mzaliwa Wa bkb Bali mie nijuavyo bk inaizidi moshi ndoo maana nimeweka za bukoba na moshi walete zao.Mimi ni mzaliwa Wa jiji la mwanza ilemela milimani barabara ya maduka Tisa ila naipenda bk
Ngoja tuone competition hiyo.
 
Ngoja tuone competition hiyo.
Hebu tuchambue sasa kwa mahitaji ya kijamii Kama shule hospitali Barbara na huduma ya maji ..
Kielimu moshi Ina shule nyingi Sana za sekondari na vyuo vya ufundi pamoja na vyuo vikuu
Kuhisu afya moshi in a hospitali ya mkoa pamoja na rufaa ya Kcmc poa huduma ya barabara lami mpaka vijijini kuhusu maji siongei kwan kila mtu anajibu fursa za ajira hasa kwenye utalii ni nying Sana kulinganisha na bukoba pia hata mapato ya Halmashauri ni makubwa kulinganisha na bukoba xo nimalize ubishi kwamba kulinganisha mikoa hatuangalii majengo Bali ni huduma kwan hata kwa majengo bado moshi inaiacha bukoba mbali
 
We jamaa liongo sana, utawafanya watu wapachukie Bukoba siku wakifika wakikuta unayaongopa hapa hayapo.


[HASHTAG]#JusticeForLema[/HASHTAG]
[HASHTAG]#BringBaCkBenAlive[/HASHTAG]
[HASHTAG]#PumzikaKwaAmaniDenaAmsi[/HASHTAG]
Kitu gani hakipo hapo???? Kaskazini sifa tu
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…