luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,701
- 8,906
Aisée sasa tukiwaambia hawa walangira kuwa moshi ni ulaya ya tz hawaaminMoshi ni miongoni mwa miji michache iliyokuwa na double road miaka hiyo, double road zilikuwa katika miji ya;
Dar
Iringa
Moshi
Tanga
1_nilidhani utabisha kuwa mkoa nzima wa kagera hamna jengo kama hilo la moshiUwanja wa kipekeee wa mpira mjini bukoba kaitaba stadium bukoba.uwanja WA tatu Kwa ubora tz .hivi wachaga mnajuaga hata mpira kweli.maana sijawahi sikia timu kutoka moshi.
Huku kagera sugar inaziumbisha timu za Simba na yanga na ni moja ya timu kubwa tano nchini all the time
1. Simba
2.Yanga
3.Azam
4.kagera sugar
5.mtibwa sugarView attachment 1013469View attachment 1013471
Sent using Jamii Forums mobile app
Unasemaje eti?Nyie si ndio mlikuwa mnasema mamiti mbona nanyi mji wenu una umejaa miti.halafu mna uhaba WA picha hamna picha za mtaa picha no zilezile tena za Google
Sent using Jamii Forums mobile app
Cathédrale ya Jimbo ni ya zamani hiyo sio hoja mbona Moshi Kuna makanisa makubwa kuliko hiyo cathedral ya jimbo? Mfano kanisa la mawela Huko uru kishumunduUkatoliki gani yaani cathedral kuu ya Jimbo ipo kama kigango huko bukoba.tazama cathedral ya Jimbo la moshiView attachment 1013427
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo unataka kusema uwanja wa mpira hauna faida? Unajua ni mapato gani uwanja wa kaitaba unapata1_nilidhani utabisha kuwa mkoa nzima wa kagera hamna jengo kama hilo la moshi
2_kuhusu wachaga na mpira
Unamfahamu leodgar tenga? Unamfahamu Christopher masawe?, Hata Sasa tuna mchezaji mmoja anachezea ligi ya Austria anaitwa lema
Vile vile ktk ligi kuu bara tuna wachezaj kadhaa mfano captain wa stand United masawe,kipa wa mwadui nk kiufupi nilikwambia Hakuna sekta utamkosa mchaga black jews
3_ kuhusu uwanja wa mpira uchagani
Sisi tunapiga hesabu bhana,eneo la kujenga uwanja tunajenga maghorofa yanazalisha na kupendezesha mji
Sent using Jamii Forums mobile app
Watoke kwenye joto na baridi kali huko kwao waje huku wale upepo kama ulaya vileKwa hiyo unataka kusema uwanja wa mpira hauna faida? Unajua ni mapato gani uwanja wa kaitaba unapata
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzee baba hakuna shule yoyote katika mkoa wa Kilimanjaro usiokuwa na zile playground hapo nikuweke sawa na kama siyo zile umiseta na utashuta kuondolewa na mambo mengine ya kinafiki wa FAT ya ndolanga na wenzake kujenga mazingira kupata vipaji katika michezo nadhani ktk soka wachagga wangejaa maana tungeuzika ulaya ila haiko kifursa ubabaishaji tu umebakia natamani hata katiba ya TFF ifanyiwe marekebisho maana bado naona leordger tenga arudi kuliongoza maana ni raisi bora katika shirikisho la mpira wa miguu tanzania#Kwa hiyo unataka kusema uwanja wa mpira hauna faida? Unajua ni mapato gani uwanja wa kaitaba unapata
Sent using Jamii Forums mobile app
Marangu Moshi Kilimanjaro ulaya ya tz liko wapi joto?Watoke kwenye joto na baridi kali huko kwao waje huku wale upepo kama ulaya vile View attachment 1014047View attachment 1014048
Sent using Jamii Forums mobile app
Marangu Moshi Kilimanjaro ulaya ya tz liko wapi joto?View attachment 1014540
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyumba za kuishi watu bukoba vijijini.kijiji cha makongo huko bukobaMarangu Moshi Kilimanjaro ulaya ya tz liko wapi joto?View attachment 1014540
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo bwashehe umefurahia kona, sio?? Hiyo lami ni daraja la ngapi??
Afadhali umemuonesha madaraja ya mito yanavyotakiwa kuwa.Daraja la mto kagera huko kyaka kageraView attachment 1012536View attachment 1012537
Sent using Jamii Forums mobile app
Leta tu mkuu! Sio porojo.Unajua Christ the King Cathedral ndio largest cathedral in Tanzania nitakuletea picha.
Hii ya mwaka gani arifu??Mkoa wa 3 kwa umaskini utawezaje kunigaragaza mkoa wa 2 kwa makaz bora na gdp kubwa kwa wananchi? Labda mlinigaragaza kwa kula senene na kuzaliana hovyo kama kumbukumbiView attachment 1012674
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya sasa tutambae pamoja. Mtu asiombe pooTumeamua kuwaumbua maana nyie ni maskin wa kutupa huku mkijitapa na mbwembwe kumbe nothing
Sent using Jamii Forums mobile app
Hili kanisa kama la kijijini kwetu huko Ruzinga, Kiziba, Misenyi. Ntawaletea picha nikienda! Alafu eti ndo Cathedral ya MoshiHili hapa .ndo unataka ulinganishe na mater misercodie cathedral ya bukoba.ingawa kuna parokia kama Rubya na itahwa ni kubwa zaidi ya cathedral hiyo.kwenye upande wa dini msiongeee kabisa Kwa sababu bukoba ukatoliki na ulutheri umechimba mizizView attachment 1012676
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata usipoitafuta tushapata picha zake mkuu. Kama kigango cha vijijini huko BukobaUsijali litaletwa tu hapo nimeanza kupasha mitambo kwa kukupa ya vijijin
Sent using Jamii Forums mobile app