Barabara ipi hiyo mbona zote zipo?Ni kweli ila kuna maeneo ambayo tayari alikuwa na migogoro nayo. Mfano biharamulo wana hasira nae baada ya kupindisha barabara inayoelekea bukoba
Sent from my SM-J320H using JamiiForums mobile app
Kweli ipo ila mwanzoni kutoka mwanza kwenda bukoba tulikuwa tunapita b/mulo sio chato ila kwa sasa zote zinapitika.Barabara ipi hiyo mbona zote zipo?
Hapo umesomekaKweli ipo ila mwanzoni kutoka mwanza kwenda bukoba tulikuwa tunapita b/mulo sio chato ila kwa sasa zote zinapitika.
Sent from my SM-J320H using JamiiForums mobile app