Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
Mwafwaa
Naona unasahau ule msemo mwenzako akinyolewaNyie ndiyo baada ya tetemeko heavy weight,mlikua mnachekacheka nakushangilia kwa kila neno alilokua akiongea kipindi kile amekuja kuwapa maneno motomoto baada yakupigiwa kelele kua aje awape pole.Kumbukeni aliwaambia kama mnategemea serikali,mwafaaa.. sasa leo mnataka kumwambia Rais awafanyie nini,jibu bilashaka ni MWAFAA...
2015 walikuwepo, sasa twambie walikosea nini na wapi?Unauliza mmekosa nini? Wewe bure kabisa. 2015 ulikuwa wapi?
Naufahamu huo msemo na hii imenifanya nikome kumshirikisha rais katika matatizo ambayo najua kabisa aliwajibu wenzangu vile alivyojibu.Naona unasahau ule msemo mwenzako akinyolewa
Kachoteni maji mto wa ngono viazi nyinyiLaana anayo mama yako
Usimhukumu hivyo.Pengine hiyo oct.alikuwa nje ya nchi.Unauliza mmekosa nini? Wewe bure kabisa. 2015 ulikuwa wapi?
Si ndo kwenye mbunge aliyetuhumiwa ugaidi? akaambiwa ajenge kiwanda chake cha sementi apunguze bei?2015 walikuwepo, sasa twambie walikosea nini na wapi?
Dawa ni kuiondoa ccm madarakaniUnauliza mmekosa nini? Wewe bure kabisa. 2015 ulikuwa wapi?
Magu alipata kura nyingi kanda ya ziwa kwa kujidai ni msukumaBukoba hawakumpa kura magu kaka wewe uko wapi. Jimbo lako linaongozwa na nani.
Ni kweli ila kuna maeneo ambayo tayari alikuwa na migogoro nayo. Mfano biharamulo wana hasira nae baada ya kupindisha barabara inayoelekea bukobaDawa ni kuiondoa ccm madarakani
Magu alipata kura nyingi kanda ya ziwa kwa kujidai ni msukuma