Hapo itokee wapate ukimwi, hutaamini macho yako.
Ni kweli lakini.Labda ngoma ya zamani... hii ya siku hizi watu wanang'oka na vitambi vyao!
Hii Kali ya mwaka
Wilaya ya Magogoni kwenye manispaa ya Ilala jijiniBujibuji umeteuliwa kuwa dc wa wilaya gani vleee..?
Wilaya ya Magogoni kwenye manispaa ya Ilala jijini
Taarifa imepokelewa na imeungwa mkono.Bujibuji ni mwanamke hao ni mme.
swissme
Walikuwa wanaringishiana ama?