Kitambi, kiribatumbo na kunenepeana mashavu ni magonjwa ya kisasa?

Yoda

JF-Expert Member
Jul 22, 2018
37,634
46,278
Nikiangalia watu wengi na picha nyingi za watu wa kuanzia mwaka wa 2000 kurudi miaka ya nyuma sana sioni kama watu wengi walikuwa na vitambi, unene uliopitiliza, kiribatumbo au kunenepeana mashavu na shingo.

Mfano ukiangalia hata viongozi wa enzi za Nyerere katika Serikali na chama utaona wengi walikuwa na siha njema na miili ya wastani, ni nadra kuona vitambi na watu walionenepeana.

Inawezekana maendeleo yanaleta matatizo mapya mabaya zaidi. Natambua changamoto za kiafya kwa wale ambao wana matatizo ya kiafya yanayosababisha miili yao kunenepea kwa kupitiliza. Ila hapa naongelea wengi wa watu ambao wamenenepeana kwa kula hovyo au uzembe mwingine.
 
Nikiangalia watu wengi na picha nyingi za watu wa kuanzia mwaka wa 2000 kurudi miaka ya nyuma sana sioni kama watu wengi walikuwa na vitambi, unene uliopitiliza, kiribatumbo au kunenepeana mashavu na shingo.

Mfano ukiangalia hata viongozi wa enzi za Nyerere katika Serikali na chama utaona wengi walikuwa na siha njema na miili ya wastani, ni nadra kuona vitambi na watu walionenepeana.

Inawezekana maendeleo yanaleta matatizo mapya mabaya zaidi. Natambua changamoto za kiafya kwa wale ambao wana matatizo ya kiafya yanayosababisha miili yao kunenepea kwa kupitiliza. Ila hapa naongelea wengi wa watu ambao wamenenepeana kwa kula hovyo au uzembe mwingine.
Toa stadi za kuelimisha hapa.

'Kula hovyo' ndiyo kulaje huko?

Ni vipimo gani mtu avitumie ili kuhakikisha kula yake hiyo ndiyo 'anakula vizuri' na Hali ovyo?
 
Nikiangalia watu wengi na picha nyingi za watu wa kuanzia mwaka wa 2000 kurudi miaka ya nyuma sana sioni kama watu wengi walikuwa na vitambi, unene uliopitiliza, kiribatumbo au kunenepeana mashavu na shingo.

Mfano ukiangalia hata viongozi wa enzi za Nyerere katika Serikali na chama utaona wengi walikuwa na siha njema na miili ya wastani, ni nadra kuona vitambi na watu walionenepeana.

Inawezekana maendeleo yanaleta matatizo mapya mabaya zaidi. Natambua changamoto za kiafya kwa wale ambao wana matatizo ya kiafya yanayosababisha miili yao kunenepea kwa kupitiliza. Ila hapa naongelea wengi wa watu ambao wamenenepeana kwa kula hovyo au uzembe mwingine.
Nasoma hii sridi huku natafuna crips za ndizi na pembeni nakaanga sausages 8 ntashushia na kokakola bariiiidi... uzito nina kilo 120 na kitambi juu urefu wangu hauzidi futi 5!
 
Wewe subiri kushambuliwa kwa matusi kama ashambuliwavyo Profesa Janabi anapotoa ushauri kuhusu lishe na madhara ya unene uliopitiliza.Kizazi hiki hakihitaji ushauri mpaka mtu yamkute ndio atapata akili
Shida vifo vishakua vya aina nyingi, liwalo na liwe
 
Nikiangalia watu wengi na picha nyingi za watu wa kuanzia mwaka wa 2000 kurudi miaka ya nyuma sana sioni kama watu wengi walikuwa na vitambi, unene uliopitiliza, kiribatumbo au kunenepeana mashavu na shingo.

Mfano ukiangalia hata viongozi wa enzi za Nyerere katika Serikali na chama utaona wengi walikuwa na siha njema na miili ya wastani, ni nadra kuona vitambi na watu walionenepeana.

Inawezekana maendeleo yanaleta matatizo mapya mabaya zaidi. Natambua changamoto za kiafya kwa wale ambao wana matatizo ya kiafya yanayosababisha miili yao kunenepea kwa kupitiliza. Ila hapa naongelea wengi wa watu ambao wamenenepeana kwa kula hovyo au uzembe mwingine.
Kula hovyo vyakula vya wanga,protini na vyenye mafuta mengi ndie imesababisha unene na viribatumbo kuongezeka.

Elimu ya lishe ni muhimu, sio lazima kufundisha hata ukiingia mitandaoni yapo majarida mengi tu ya afya, ulaji na lishe tunayoweza kujifunza.
 
Nikiangalia watu wengi na picha nyingi za watu wa kuanzia mwaka wa 2000 kurudi miaka ya nyuma sana sioni kama watu wengi walikuwa na vitambi, unene uliopitiliza, kiribatumbo au kunenepeana mashavu na shingo.

Mfano ukiangalia hata viongozi wa enzi za Nyerere katika Serikali na chama utaona wengi walikuwa na siha njema na miili ya wastani, ni nadra kuona vitambi na watu walionenepeana.

Inawezekana maendeleo yanaleta matatizo mapya mabaya zaidi. Natambua changamoto za kiafya kwa wale ambao wana matatizo ya kiafya yanayosababisha miili yao kunenepea kwa kupitiliza. Ila hapa naongelea wengi wa watu ambao wamenenepeana kwa kula hovyo au uzembe mwingine.
Wanatafutia status tu hamna jipya
 
Nasoma hii sridi huku natafuna crips za ndizi na pembeni nakaanga sausages 8 ntashushia na kokakola bariiiidi... uzito nina kilo 120 na kitambi juu urefu wangu hauzidi futi 5!
Nimesoma hii post kichwani nikiwa najiundia muonekano wa aliyeandika maneno haya kwamba yupo hivi.Hope umetania mkuu!
Screenshot_2024-02-12-20-08-13-331_com.google.android.googlequicksearchbox-edit.jpg
 
Back
Top Bottom