Bujibuji na Boflo wana Vitambi vikubwa

Bujibuji na Boflo wana Vitambi vikubwa

Herbalist Dr MziziMkavu

Platinum Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
43,074
Reaction score
34,844
Mkuu Bujibuji na Mkuu Boflo kwa vitambi mwisho wa yote hayo.......

attachment.php


kama umaipenda bonyeza (Like)
 

Attachments

  • bujibuji na boflo.jpg
    bujibuji na boflo.jpg
    13.9 KB · Views: 825
Hahaha wenzetu wanashindana kwa elimu na teknolojia
lakini bongo ukiwa na kitambi ndio heshima na wanawake
watakushobokea
 
Hahaha wenzetu wanashindana kwa elimu na teknolojia
lakini bongo ukiwa na kitambi ndio heshima na wanawake
watakushobokea
Teh teh teh!kuna uhusiano mkubwa kati ya kitambi na uwepo wa fweza!
 
Hahaha wenzetu wanashindana kwa elimu na teknolojia
lakini bongo ukiwa na kitambi ndio heshima na wanawake
watakushobokea

weee......nani kakwambia......tuache watu wenye 6 pack zao tushobokee.......(some words are missing)..........
 
Sasa hivi vitambi mbona ni ugonjwa tu kama ilivyo malaria au taifodi? Haviathiri utendaji wa kazi?!
 
Back
Top Bottom