Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 34,434
- 59,293
Kuna watu wana hela jamani yaani nimesoma kuna mwarabu ni zillionare ametoa order za Chiron SITA kwa ajili ya familia yake imagine amelipa $15m
the world is yet to witness the first trillionaire wewe mkuu unatuambia kuna zillionaire, uongo wa vijiwe vya kahawaKuna watu wana hela jamani yaani nimesoma kuna mwarabu ni zillionare ametoa order za Chiron SITA kwa ajili ya familia yake imagine amelipa $15m
Wakati mwingine ujiongeze kidogo kusomathe world is yet to witness the first trillionaire wewe mkuu unatuambia kuna zillionaire, uongo wa vijiwe vya kahawa
unapoanza kubisha ndo nazid kukuona hujui na sio kwamba ulikosea, haya leta linkWakati mwingine ujiongeze kidogo kusoma
Ntakupa link
Dar to Moro ni km 194 tu kwa speed ya 500km/hr ni less than 30 minutesMkuu hapa hatuna high way!,izi barabara zimejaa mashimo,matuta kibao!!,
Huko duniani high way ni mkeka mtupu!,ukiwa speed ndogo unaweza sababisha ajari!... Na Mara nyingi unaripia high way!!,mfano ikiwepo hapa me to Moro only 1hr
Well nimesoma kwenye kwenye gazeti la The Sununapoanza kubisha ndo nazid kukuona hujui na sio kwamba ulikosea, haya leta link
Sasa pound million 15 si hela ya kununulia Ndala kwa Bill GateWell nimesoma kwenye kwenye gazeti la The Sun
![]()
Acha tuhesabu za watu tu sio mbayaSasa pound million 15 si hela ya kununulia Ndala kwa Bill Gate
that article is extremely misleading, The richest person in the world is bill gates and he is a billionaire , huyo zillionaire ametoka wapi , article ya kibashite hiyoWell nimesoma kwenye kwenye gazeti la The Sun
![]()
Ninavyojua wapo watu hawajionyeshi na kutangaza utajiri wao.that article is extremely misleading, The richest person in the world is bill gates and he is a billionaire , huyo zillionaire ametoka wapi , article ya kibashite hiyo
Nyingi tu labda sema tanzania, siyo Duniani.. Wasingetengeneza kama hakun roadHakuna barabara ya kurndeshea hiyo speed duniani 250 yenyewe sio rahisi sembuse 500
imezidi kwa Porshe panorama turbo supercharged ya 2013 ina speed 400km/h muundo ndani na nje ni kama hiyo hiyo zimetofautiana nyuma tuu hawa panorama 2017 naamini watakua wametoa kitu cha hatari zaidi...
hahahah nimecheka sana nliposoma hii kitu , kwa jinsi ulivyoandika kwa confidence zote , mi naona ungegoogle kwanza wewe ingekuwa vizur zaidiHakuna gari ndogo yenye kipimo horse power,jaribu ku google horse power moja sawasawa na cc ngapi ndio utajua,kipimo cha horse power kipo kwenye gari kubwa tu,na hiyo hp 1500 hata kwenye lory hakuna labda train.
Sio kweli, hata gari ndogo zina vipimo vya horse power!Hakuna gari ndogo yenye kipimo horse power,jaribu ku google horse power moja sawasawa na cc ngapi ndio utajua,kipimo cha horse power kipo kwenye gari kubwa tu,na hiyo hp 1500 hata kwenye lory hakuna labda train.
Sema hamna barabara bongo za kuendesha sio duniani...kwaio walitengeneza hayo magari yakae ndaniHakuna barabara ya kurndeshea hiyo speed duniani 250 yenyewe sio rahisi sembuse 500
Autobahn iko ujerumani250 TZ hufiki? Usintanie kabisa!! anyways, unaijua barabara inayoitwa Autobahn? Zipo barabara za kufika hio 500kmhr kwa wenzetu... hatuna sie tu miji ilokosa plan...
ndo pakuendesha bugattiAutobahn iko ujerumani