aikaruwa1983
JF-Expert Member
- May 6, 2011
- 1,398
- 1,504
inamaana ukianzia ubungo mataa kwa sekunde mbili unakuwa ushaiona mikese au?Inatumia sekunde mbili kuchomoka kutoka 0 - 100 km/h
inamaana ukianzia ubungo mataa kwa sekunde mbili unakuwa ushaiona mikese au?Inatumia sekunde mbili kuchomoka kutoka 0 - 100 km/h
inamaana ukianzia ubungo mataa kwa sekunde mbili unakuwa ushaiona mikese au?
nimekusoma ndugu Salute!!!!sijui kama nimeweza kuelezea vizuri!
Kwenye Top Gear leo jamaa kaiendesha kwenye runway tu kafikisha 230mph. Miles per hour. Kuna special key akiiweka sehemu na kufungua inafikisha 300mph.Hakuna barabara ya kurndeshea hiyo speed duniani 250 yenyewe sio rahisi sembuse 500
€2m.How much ???
Five gear ya cloudsKwenye Top Gear leo jamaa kaiendesha kwenye runway tu kafikisha 230mph. Miles per hour. Kuna special key akiiweka sehemu na kufungua inafikisha 300mph.
Hii gari haihitaji umbali mrefu kufikisha mwendo huo.
Ni W16 with 4 turbo chargers!

Top Gear ya BBC Brit on dstv. Siwezi kuangalia upuuzi wa hao jamaa!Five gear ya clouds![]()
mkuu kuna kitu kinaitwa autobahn kagoogle ujionee, watu wanalaza 300km/h au unadhani amg, m power , pefromance zake zimeboostiwa za mapambo80 sawa hata hapa tz unaendesha ila speed kuanzia 250 duh sio rahisi hiyo barabara inatakiwa isiwe na kona au vilima pia duh hamna haiwezekani
Hapana mkuu tofautisha acceleration na velocity ....hio 2sec ni accelerationinamaana ukianzia ubungo mataa kwa sekunde mbili unakuwa ushaiona mikese au?
thumbs up , i watched top gear leo aswell.,Kwenye Top Gear leo jamaa kaiendesha kwenye runway tu kafikisha 230mph. Miles per hour. Kuna special key akiiweka sehemu na kufungua inafikisha 300mph.
Hii gari haihitaji umbali mrefu kufikisha mwendo huo.
Ni W16 with 4 turbo chargers!
Wengi humu hawajaendesha magari. Hizi 130/150mph(220-250) nimeendesha sana, na nimekula driving ban kadhaa!mkuu kuna kitu kinaitwa autobahn kagoogle ujionee, watu wanalaza 300km/h au unadhani amg, m power , pefromance zake zimeboostiwa za mapambo

wakati gari za Formular One ina gear 8 na wanatumia DRS. Bila kusahau MGU-K na MGU-H. Pia gari hizo na Speed camera zilizojaa barabara za ulaya hiyo kufikisha 200km/h tu ni shida baadhi ya barabara ndiyo maana mzee wa Maranello(Ferrari) na (Lamborghini),gari zao nyingi wanawauza sana uarabuni.Kwa barabara IPI?dar-mwanza masaa matatu
usichekeshe tanzania hatuna high way.Juz nimepita high way dar-mza kwakwel ile sio barabara ni lami bt mashimo kabisa utadhani road ya vumbi imebonyebonyea hatar sasa sijui ni viwango gani Tanroad wazembe sana