Dora Chloe
Member
- Nov 18, 2019
- 31
- 113
Mmmmh mi najua ni wewe hakuna cha blaza hapa
Mwambie atafute mke labda atajiongeza kiakiliHuyu ni mtoto baba Mkubwaa leo hii ametimiza miaka 40 kwa mzee wake akiwa bado kula kulala yaani still mshikaji mpka sasa bado anamtegemea mzee wake na hajawahi kujitegemea mpka sasa namuonea huruma licha kielimu amenizidi coz ana masters
Kwa umri huu ulivyokwenda natamani nimshauli Kitu kuhusu maisha je nimshauli nini
😍😍😍😍😍😍😍Mwambie atafute mke labda atajiongeza kiakili
Kama wahindi sioTunakoenda hilo litakua la kawaida, itafika hatua babu, baba, mjukuu wote wamepanga, Thamani ya nyumba inazidi kupanda....
Napata wakati mgumu kumhukumu, ila Pengine jamaa Kuna sehemu alizingua, 40yrs??? Hii ni too much.
Kwa umri huu ulivyokwenda natamani nimshauli Kitu kuhusu maisha je nimshauli nini
Wewe umemsaidiaje?Huyu ni mtoto baba Mkubwaa leo hii ametimiza miaka 40 kwa mzee wake akiwa bado kula kulala yaani still mshikaji mpka sasa bado anamtegemea mzee wake na hajawahi kujitegemea mpka sasa namuonea huruma licha kielimu amenizidi coz ana masters
Kwa umri huu ulivyokwenda natamani nimshauli Kitu kuhusu maisha je nimshauli nini
unakaa kwa baba niniUmekaa unafatilia life la ndugu yako,unamwesabia na miaka,na muda wa kumjadili mitandaoni?
Mwambie mzee anamzunguka kwenye share ya familia.Huyu ni mtoto baba Mkubwaa leo hii ametimiza miaka 40 kwa mzee wake akiwa bado kula kulala yaani still mshikaji mpka sasa bado anamtegemea mzee wake na hajawahi kujitegemea mpka sasa namuonea huruma licha kielimu amenizidi coz ana masters
Kwa umri huu ulivyokwenda natamani nimshauli Kitu kuhusu maisha je nimshauli nini
Huna cha kumshauri mtu kama huyo hapo anachosubiri ni mzee adondoke jamaa awe mrithi akajenge heshima barHuyu ni mtoto baba Mkubwaa leo hii ametimiza miaka 40 kwa mzee wake akiwa bado kula kulala yaani still mshikaji mpka sasa bado anamtegemea mzee wake na hajawahi kujitegemea mpka sasa namuonea huruma licha kielimu amenizidi coz ana masters
Kwa umri huu ulivyokwenda natamani nimshauli Kitu kuhusu maisha je nimshauli nini
Tatizo lilianzia hapa
Chunguza vema, wasomi wana mambo. Usikute kwenye utafiti wake wa hiyo shahada ya umahiri, moja ya kitu alichojifunza ni hicho--kutokuanza kujitegemea mapema. Hvyo, huenda anatekeleza aliyojifunza kwa vitendo. Safi sanaHuyu ni mtoto baba Mkubwaa leo hii ametimiza miaka 40 kwa mzee wake akiwa bado kula kulala yaani still mshikaji mpka sasa bado anamtegemea mzee wake na hajawahi kujitegemea mpka sasa namuonea huruma licha kielimu amenizidi coz ana masters
Kwa umri huu ulivyokwenda natamani nimshauli Kitu kuhusu maisha je nimshauli nini
Huyu ni mtoto baba Mkubwaa leo hii ametimiza miaka 40 kwa mzee wake akiwa bado kula kulala yaani still mshikaji mpka sasa bado anamtegemea mzee wake na hajawahi kujitegemea mpka sasa namuonea huruma licha kielimu amenizidi coz ana masters
Kwa umri huu ulivyokwenda natamani nimshauli Kitu kuhusu maisha je nimshauli nini