Mboka man
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 478
- 1,638
Huyu ni mtoto wa baba Mkubwa leo hii ametimiza miaka 40 kwa mzee wake akiwa bado kula kulala yaani still mshikaji mpaka sasa bado anamtegemea mzee wake na hajawahi kujitegemea mpaka sasa namuonea huruma licha kielimu amenizidi coz ana masters
Kwa umri huu ulivyokwenda natamani nimshauri kitu kuhusu maisha. Je, nimshauri nini
Kwa umri huu ulivyokwenda natamani nimshauri kitu kuhusu maisha. Je, nimshauri nini