toplemon
JF-Expert Member
- Mar 26, 2017
- 4,581
- 4,631
Inawezekanaje kijana ashatimiza miaka 25 na kuendelea do yupo kwao?
Miaka 25 huna hata godoro ndugu?Hata kitanda huna?Miaka 25 hata kujitegemea bado? Bado upo kwenu unagombea dawa ya meno na watoto wa ndugu zako kweli?
Vitu vingine ni vya ajabu sana na aibu siwakandii ila ndio kweli haiwezekani una miaka hiyo bado upo kwenu.
Kuanzia miaka 20 sio miaka ya kukaa nyumbani na kula ugali wa bure ni miaka ya kuanza kujitegemea na kujituma
Maana ukishafikisha miaka 25 bado upo kwenu na huna hata godoro kutimiza ndoto zako huko baadae ni ngumu kinoma.
Ni bora kuambiana ukweli, siwasemi wala siwafokei,na msijitie moyo kwa kuambiwa umri bado, sasa kama ndugu yangu wewe unajiona umri bado?Jee hao wenye miaka 14-18 years wasemeje?
Ni jambo la kijinga na udhaifu wa hali ya juu mtu ana miaka 25 bado hajajitegemea na hana chochote cha maana cha kujivunia.
Tunatengeneza taifa lenye vijana wa hovyo sana.
.
.
.
.
TANBIHI
Kwahiyo mnaona ni sawa above 25 waendelee kukaa majumbani wakila vya bure?
Nilileta uzi humu nikisema kwamba mtu wa kuanzia miaka 25 hatakiwi kuwa nyumbani akitegemea wazazi na ndo ukweli huo
Hapa niliwalenga wale ambao kwao wamekaa tu na hawafanyi shughuli yoyote ile ya kipato, wapo ambao kwa mazingira inawalazimu kubaki makwao lakini wana kazi wanafanya inawaingizia kipato
Sio unakaa nyumbani unakula bure, unalala bure, huchangii chochote, wazazi wamekuzaa wamekulea kwa shida hadi umekua, badala ya ujishughulishe upate kipato, bado unaendelea kuwatia wazazi mzigo wa kukulea jibaba zima la miaka 25 una ndevu hadi za huko chini, una msitu wa equatorial kabisa you are continue to stay at home without nothing you earn than to exploit your parents.
Upo tu, huna kazi yoyote unalala na kuamka tu, na kula na kugombea juisi kwenye friji, ni aibu, kwa mtoto wa kike ni sawa akibaki nyumbani,lakini dume zima aibu kabisa
Haijalishi kwenu mmendelea sana, ni wa kishua toka umezaliwa hujui shida lakini ukifikisha 25 years walau uanze kujishughulisha walau upate chochote kitu kwa maisha haya walau ucontribute chochote au uwe unaingiza chochote hata kama kwenu ni mambo safi.
Kuna mwingine alinijibu kuwa labda sio wote wametokea familia za tia maji tia maji, kwahiyo vijana maskini ndo wasikae majumbani akanirefer mimi kuwa huenda nimetokea familia ya shida ndo maana nasema hivyo
Personally mimi wala sio hivyo,kwanza nijieleze kuwa mimi ni nani kwetu tumezaliwa watatu, wasichana wawili na mvulana mmoja ambaye ndo mimi.
My sister wa kwanza kasoma ana masters yake ana kazi nzuri tu, na kaolewa na mtu ambaye yupo vizuri sana kiujumla wana maisha mazuri sana.
Wa pili ana degree kabahatika kupata kazi kwenye NGO's huko mshahara mnono, ana maisha yake ana mali zake hajaolewa hajazaa ila anamiliki nyumba,biashara na viwanja kadhaa.
Na home sio watu wa njaa wala nini,mimi ndo mtoto pekee wa kurithi mali, mzee na mama wana nyumba tatu, wana biashara ya duka, nyumbani mambo ni swafi, hawana shida, ishu niliamua kutoka home nikajipinde, kitu ambacho kilimuudhi sana mama na baba, na dada zangu, maana huwa wananiambia kwanini ninahangaika wakati mimi ndo mtoto pekee wa kiume?Kwanini nasumbuka?kwanini nisirudi nyumbani kila kitu kipo?Kwanini nisikae tu nyumbani nisubiri ajira au nikae tu na wazazi?kwanini naumiza kichwa wakati nyumbani nyumba zipo za kutosha hakuna walobaki nyumbani zaidi ya mzee na maza?
Wananiuliza kwanini niwe na mawazo ya kununua kiwanja changu mwenyewe na kujenga nyumba yangu mwenyewe wakati hayo majumba yote matatu wanayomiliki wazazi mwishowe ni yangu?
Kwanini nisirudi tu nyumbani nioe maisha yaendelee?kwanini najisumbua?
Hayo yote wananiuliza!Lakini mimi nataka nipambane niwe na vya kwangu mwenyewe ambacho nitakua nimekitolea jasho, hivyo vya wazazi nitapewa ndio, lakini lazima na mimi kwenye maisha yangu niseme kwamba pamoja na yote na mimi nilifanya jambo hili na lile
Haiwezekani una miaka 25 hadi 40 umekaa tu kwenu huna hata godoro, huchangii chochote upo tu unalala na kuamka unawatia wazazi wake gharama za kulitunza dume zima!Wazazi wako wamekulea tokea utotoni huko bado tena sahiv badala ya kuwaacha wapumzike kidogo we bado unawabebesha mizigo ya kukulea wewe dume zima!
Kuna mmoja kasema kwamba eti si wanilizaa wao?Haya ni mawazo ya kijinga sana, uendelee kuwaza hivyo hivyo kama hitazeekea kwenu nala maana hujafanya, hebu jishughulishe huko mwanaume nzima dume zima ni wa kumsumbua bi mkubwa wako kuomba hadi bando?ni aibu ya mwaka
Tatzo hampendi kuambiwa ukweli na ukweli ndo huo una miaka 25 na kuendelea hadi 40 umekaa kwenu unakula bure, kulala bure na huna mishe ya maana wewe ni mzigo kwa wazazi na hustahili kabisa wewe ni mnyonyaji,mvivu, na mtu usiyefaa wala kustahili kabisa
Miaka 25 huna hata godoro ndugu?Hata kitanda huna?Miaka 25 hata kujitegemea bado? Bado upo kwenu unagombea dawa ya meno na watoto wa ndugu zako kweli?
Vitu vingine ni vya ajabu sana na aibu siwakandii ila ndio kweli haiwezekani una miaka hiyo bado upo kwenu.
Kuanzia miaka 20 sio miaka ya kukaa nyumbani na kula ugali wa bure ni miaka ya kuanza kujitegemea na kujituma
Maana ukishafikisha miaka 25 bado upo kwenu na huna hata godoro kutimiza ndoto zako huko baadae ni ngumu kinoma.
Ni bora kuambiana ukweli, siwasemi wala siwafokei,na msijitie moyo kwa kuambiwa umri bado, sasa kama ndugu yangu wewe unajiona umri bado?Jee hao wenye miaka 14-18 years wasemeje?
Ni jambo la kijinga na udhaifu wa hali ya juu mtu ana miaka 25 bado hajajitegemea na hana chochote cha maana cha kujivunia.
Tunatengeneza taifa lenye vijana wa hovyo sana.
.
.
.
.
TANBIHI
Kwahiyo mnaona ni sawa above 25 waendelee kukaa majumbani wakila vya bure?
Nilileta uzi humu nikisema kwamba mtu wa kuanzia miaka 25 hatakiwi kuwa nyumbani akitegemea wazazi na ndo ukweli huo
Hapa niliwalenga wale ambao kwao wamekaa tu na hawafanyi shughuli yoyote ile ya kipato, wapo ambao kwa mazingira inawalazimu kubaki makwao lakini wana kazi wanafanya inawaingizia kipato
Sio unakaa nyumbani unakula bure, unalala bure, huchangii chochote, wazazi wamekuzaa wamekulea kwa shida hadi umekua, badala ya ujishughulishe upate kipato, bado unaendelea kuwatia wazazi mzigo wa kukulea jibaba zima la miaka 25 una ndevu hadi za huko chini, una msitu wa equatorial kabisa you are continue to stay at home without nothing you earn than to exploit your parents.
Upo tu, huna kazi yoyote unalala na kuamka tu, na kula na kugombea juisi kwenye friji, ni aibu, kwa mtoto wa kike ni sawa akibaki nyumbani,lakini dume zima aibu kabisa
Haijalishi kwenu mmendelea sana, ni wa kishua toka umezaliwa hujui shida lakini ukifikisha 25 years walau uanze kujishughulisha walau upate chochote kitu kwa maisha haya walau ucontribute chochote au uwe unaingiza chochote hata kama kwenu ni mambo safi.
Kuna mwingine alinijibu kuwa labda sio wote wametokea familia za tia maji tia maji, kwahiyo vijana maskini ndo wasikae majumbani akanirefer mimi kuwa huenda nimetokea familia ya shida ndo maana nasema hivyo
Personally mimi wala sio hivyo,kwanza nijieleze kuwa mimi ni nani kwetu tumezaliwa watatu, wasichana wawili na mvulana mmoja ambaye ndo mimi.
My sister wa kwanza kasoma ana masters yake ana kazi nzuri tu, na kaolewa na mtu ambaye yupo vizuri sana kiujumla wana maisha mazuri sana.
Wa pili ana degree kabahatika kupata kazi kwenye NGO's huko mshahara mnono, ana maisha yake ana mali zake hajaolewa hajazaa ila anamiliki nyumba,biashara na viwanja kadhaa.
Na home sio watu wa njaa wala nini,mimi ndo mtoto pekee wa kurithi mali, mzee na mama wana nyumba tatu, wana biashara ya duka, nyumbani mambo ni swafi, hawana shida, ishu niliamua kutoka home nikajipinde, kitu ambacho kilimuudhi sana mama na baba, na dada zangu, maana huwa wananiambia kwanini ninahangaika wakati mimi ndo mtoto pekee wa kiume?Kwanini nasumbuka?kwanini nisirudi nyumbani kila kitu kipo?Kwanini nisikae tu nyumbani nisubiri ajira au nikae tu na wazazi?kwanini naumiza kichwa wakati nyumbani nyumba zipo za kutosha hakuna walobaki nyumbani zaidi ya mzee na maza?
Wananiuliza kwanini niwe na mawazo ya kununua kiwanja changu mwenyewe na kujenga nyumba yangu mwenyewe wakati hayo majumba yote matatu wanayomiliki wazazi mwishowe ni yangu?
Kwanini nisirudi tu nyumbani nioe maisha yaendelee?kwanini najisumbua?
Hayo yote wananiuliza!Lakini mimi nataka nipambane niwe na vya kwangu mwenyewe ambacho nitakua nimekitolea jasho, hivyo vya wazazi nitapewa ndio, lakini lazima na mimi kwenye maisha yangu niseme kwamba pamoja na yote na mimi nilifanya jambo hili na lile
Haiwezekani una miaka 25 hadi 40 umekaa tu kwenu huna hata godoro, huchangii chochote upo tu unalala na kuamka unawatia wazazi wake gharama za kulitunza dume zima!Wazazi wako wamekulea tokea utotoni huko bado tena sahiv badala ya kuwaacha wapumzike kidogo we bado unawabebesha mizigo ya kukulea wewe dume zima!
Kuna mmoja kasema kwamba eti si wanilizaa wao?Haya ni mawazo ya kijinga sana, uendelee kuwaza hivyo hivyo kama hitazeekea kwenu nala maana hujafanya, hebu jishughulishe huko mwanaume nzima dume zima ni wa kumsumbua bi mkubwa wako kuomba hadi bando?ni aibu ya mwaka
Tatzo hampendi kuambiwa ukweli na ukweli ndo huo una miaka 25 na kuendelea hadi 40 umekaa kwenu unakula bure, kulala bure na huna mishe ya maana wewe ni mzigo kwa wazazi na hustahili kabisa wewe ni mnyonyaji,mvivu, na mtu usiyefaa wala kustahili kabisa