Elections 2010 Brother Shigongo...

I think this is what Kills him..... Kuumbua watu sio kitu kizuri.......[/QTE]
nahitaji tafsiri ya neno "umbua"kwa maana niijuayo mie ni neno sahihi sana na ambalo ndilo lilisababisha tukawajua mafisadi wa njii hii. na waumbuaji wameibuka kuwa mashujaa ambao leo tunawapigia upatu wadumu daima milele na wapate zaidi kuliko jana na leo.kama ni ye kaumbua yasiyotakiwa kuwa dhahiri then tunanuna dawa sio kununa. ni kuacha kutenda maovu yanayo kinzana na jamiiii
 
Bila shaka huu ni ukweli wenyewe, Brother Shigo wewe uza magazeti tu hiyo ndio biashara yako, siasa waachie wenyewe!
 
Shigongo ni mtu wa ajabu sana! Amekuwa akiendesha mtandao ule haramu wa Ze utamu na kuandika watu vibaya kwenya magazeti yake. Wananchi hawawezi mpa nafasi. Go to Hell Eric James Shigongo
 
Kama issue ni kutoa ajira tu hata mtu anayetengeneza chakula chenye sumu ya kuua watu naye utamuona wa maana? Si anatengeneza ajira naye ?

Tupe kigezo zaidi ya kutengeneza ajira.

Hi Kiranga;
I have a lot to learn from you, though I likedebating with you; I, at the same time enjoy reading your articlles, especially the positive ones! Why do not you switch back to your earlier JF days articles manner? Napenda sana kusoma makala zako ila sana sana zile tu ambazo ni positive!
 
kuna nini huko mjengoni????? kama unaweza kuwasaidia watu ukiwa huku nje si ndo vizuri zaidi! na isitoshe kama unaweza changia hoja si upeleke kwa mbunge wako naye atawakilisha mjengoni! lazima wewe?

Huwa nashindwa kuelewa hilo, watu wanasema ooh nataka kwenda bungeni kuwasaidia wananchi, Ok that fine but kusaidia wananchi si lazima uwe mbunge. Kwani Mengi wa IPP ni mbunge? Shusha mishara ya wabunge na benefits zingine uone kama watakuwa na mchecheto huo.
 
SHigongo deserves be rotten in jail.... he explore women, fake stories, smear people with his choreographed fake investigation, disgust people with his front pages x-rated photos, pretend to be a good "believer" etc. etc.

Napongeza na kufarijika kila anaposhindwa kwani he is not someone needed in the parliament
Bila kusahau ni mla tigo mzuri kwa makaka poa!
 
SHigongo deserves be rotten in jail.... he explore women, fake stories, smear people with his choreographed fake investigation, disgust people with his front pages x-rated photos, pretend to be a good "believer" etc. etc.

Napongeza na kufarijika kila anaposhindwa kwani he is not someone needed in the parliament

Andika kwa kiswahili bwana Acid ndio tutakuelewa vizuri!!
 
Yaani kila nikisikia hilo jina la shigongo
napata kichefuchefu...............
 
Yaani kila nikisikia hilo jina la shigongo
napata kichefuchefu...............
Hivi kampuni kama Ya IPP ikitokea mwandishi na editor wake wakaruhusu makala /picha ambayo kuonekana/kusomeka kwake kukaleta matatizo kwenye jamii wakustakiwa ni Bwana mengi (mmiliki) au wahariri wake?? Bwana EJS yeye ni mkurugenzi na kuna wahariri wengi tu katika magazeti na kama inavyojulikana magazeti yake pendwa aka Udaku yananunuliwa kwa hadithi zake za kufikirika na matukio ya mitaani kwetu na sio ya kupikwa..hata nchi za watu waliondelea magazeti haya yapo na yanapendwa kusoma sana kama The SUn etc..Sijui kwann chiku binafsi kwake.Kama unakichefuchefu huenda una minyoo inasumbua kunywa mibendazone huenda ikasaidia
 
Hi Kiranga;
I have a lot to learn from you, though I likedebating with you; I, at the same time enjoy reading your articlles, especially the positive ones! Why do not you switch back to your earlier JF days articles manner? Napenda sana kusoma makala zako ila sana sana zile tu ambazo ni positive!

Penya positive pana negative, penye juu pana chini, penye kulia pana kushoto. Haya ni mambo ya asili.

Watu wengi hawaelewi ninavyoandika na wanaona kwamba niko negative. Kuna msemo kwamba waandishi wa habari hawaandiki habari nzuri za kutosha, pengine ni kweli.

Lakini ukiangalia kwa mfano kazi ya uandishi, habari ya kumwambia mtu kashinda zawadi na ile ya kumwambia mtu kwamba nyumba yako inaungua moto, anza kuuzima, ipi ni ya haraka zaidi? Mimi naona hii ya kuzima moto ni ya haraka zaidi na hivyo naweza kuipa umuhimu.

Sisi by nature ni positive people, wageni walivyokuja (waarabu, wareno, wajerumani, waingereza) tuliwakaribisha kwa kuwa positive, wakatulaghai, kutuibia na kutuua. kwa sababu ya kuwa positive sana.

Tulipopata uhuru tukaendelea kuwa positive na umasikini wetu wote, tunawapigia kura watu walewale miaka nenda miaka rudi, tunatumaini mambo yatatengemaa yenyewe.

Migodi inaanguka na kufukia watu, rais wetu badala ya kutafuta sababu za kisayansi ili kuboresha migodi, anatupa maneno positive, kazi ya mungu hiyo tu, tuko too positive.

Tunamuhitaji Kiranga atuambie kwamba dunia si positive tuu, ina positive na negative, kuna majambazi, funga mlango.Kuwa macho, linda chako, usiamini amini watu tu siku hizi kuna matapeli n.k, n.k

Kwa hiyo unaponiona nakuwa na maswali mengi sana ambayo unaweza kuyaona negative, ni ukweli kwamba nyakati zetu zimebadilika, huwezi kuwa positive positive tu, ukiwa positive positive tu hata hutavaa mpira kujikinga, utaenda kuwa positive kweli kweli na HIV.

This is a time to test negative, not positive.
 
Penya positive pana negative, penye juu pana chini, penye kulia pana kushoto. Haya ni mambo ya asili.

Watu wengi hawaelewi ninavyoandika na wanaona kwamba niko negative. Kuna msemo kwamba waandishi wa habari hawaandiki habari nzuri za kutosha, pengine ni kweli.

Lakini ukiangalia kwa mfano kazi ya uandishi, habari ya kumwambia mtu kashinda zawadi na ile ya kumwambia mtu kwamba nyumba yako inaungua moto, anza kuuzima, ipi ni ya haraka zaidi? Mimi naona hii ya kuzima moto ni ya haraka zaidi na hivyo naweza kuipa umuhimu.

Sisi by nature ni positive people, wageni walivyokuja (waarabu, wareno, wajerumani, waingereza) tuliwakaribisha kwa kuwa positive, wakatulaghai, kutuibia na kutuua. kwa sababu ya kuwa positive sana.

Tulipopata uhuru tukaendelea kuwa positive na umasikini wetu wote, tunawapigia kura watu walewale miaka nenda miaka rudi, tunatumaini mambo yatatengemaa yenyewe.

Migodi inaanguka na kufukia watu, rais wetu badala ya kutafuta sababu za kisayansi ili kuboresha migodi, anatupa maneno positive, kazi ya mungu hiyo tu, tuko too positive.

Tunamuhitaji Kiranga atuambie kwamba dunia si positive tuu, ina positive na negative, kuna majambazi, funga mlango.Kuwa macho, linda chako, usiamini amini watu tu siku hizi kuna matapeli n.k, n.k

Kwa hiyo unaponiona nakuwa na maswali mengi sana ambayo unaweza kuyaona negative, ni ukweli kwamba nyakati zetu zimebadilika, huwezi kuwa positive positive tu, ukiwa positive positive tu hata hutavaa mpira kujikinga, utaenda kuwa positive kweli kweli na HIV.

This is a time to test negative, not positive.
Nonsense
 
Point
Huko Buchosa watu hawajui uwazi, ijumaa au daily news wala tanzania daima. Ni wachache sana tena sana . Wote tunajua vijijini kwetu mpaka mtu atoke mjini aje na gazeti ndo lizunguke nyumba kadhaa. Kwa hiyo Shigongo Tunayemjua sisi watu wa mujini sio shigongo wanayemjua watu wa buchosa.

Na sometime wanachi wa nje wa miji ndio brave zaidi kuliko sisi wa mujini.We angalia hata wabunge wa upinzani wengi wanataoka wapi. Sio musoma mjini laini tairime. Sio Arusha mjini lakini karatu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom