Brother Mo Dewji, seriously??

Brother Mo Dewji, seriously??

kuna Picha imesambaa mitandaoni ikimuonyesha MO akisherekea birthday yake na top executives wake ofisini kwa kukata keki.

Ofcourse, KUKATA keki si habari, ila cha kushangaza ni kwamba katika hao TOP EXECS wote ni wenye asili ya ASIA, hakuna mtanzania mwenye asili ya hapa TANGANYIKA hata mmoja.

Mo seriously?? huna top execs watanganyika asilia?? au hakuna wanao qualify kuwa katika team yako ya juu?? au hukuwaalika kukata keki hata mmoja( i doubt this)

This can not be muted, i thought you where a good man of diversity .......SERIOUSLY
Uaminifu mdogo
 
Mimi mweusi sina rafiki muhindi hata mmoja.
Kwa sababu hawautaki urafiki wako wa dhati. Hao ndugu nimesoma nao , nimechza nao, tumekuwa pamoja na hata lugha yao naizungumza, lakini huwezi kuwa nao, wewe na mimi ni GOLO kwao. Wanatuita Golo ama kalya kiswahili Giza ama jeusi.

And they don't believe to share wealth or knowledge with a native African, they say in order to continue dominating them , shun them, use them and keep them at a distance.

By the way hata huyu dewji ni katika makabila suni ya kihindi hawathaminiki sana ni lower cast.
 
Uhuru/ ukombozi wa mtu mweusi una maana ya vitendo na fikra pia.
Hata hivyo, inaelekea wengi hawaelewi.
Adui wa weusi ni wenyewe hasa viongozi wao. Pongezi na shukurani za kipekee zimfikie Rais Magufuli na wengine wenye mwelekeo huo kwa kiwango fulani.
 
kuna Picha imesambaa mitandaoni ikimuonyesha MO akisherekea birthday yake na top executives wake ofisini kwa kukata keki.

Ofcourse, KUKATA keki si habari, ila cha kushangaza ni kwamba katika hao TOP EXECS wote ni wenye asili ya ASIA, hakuna mtanzania mwenye asili ya hapa TANGANYIKA hata mmoja.

Mo seriously?? huna top execs watanganyika asilia?? au hakuna wanao qualify kuwa katika team yako ya juu?? au hukuwaalika kukata keki hata mmoja( i doubt this)

This can not be muted, i thought you where a good man of diversity .......SERIOUSLY
Mkuu hao jamaa ni wabaguzi sana,wala sio siri.Tulisema huko nyuma kwamba hawa jamaa ni wabaguzi kwa kuzaliwa tukaambiwa na sisi kwa kusema hivyo tunawabagua.Mimi tangu nizaliwe sijawahi kuona binti wa Kiasia aliyeolewa na Mswahili na kama wapo ni wachache sana.Frankly nashangaa watu wanaowachagua Wa-Asia kama Wabunge wao,shida ni nini hasa?Hivi hakuna Mswahili mwenzetu anayefaa kweli?Kwao wenyewe wanabaguana mpaka eti kuna watu wenyewe wanaowaita "untouchables,"eti kwa kuwa wana ngozi nyeusi!
 
Watu weusi mnakuwaga na fujo,hamnaga simile maeneo kama hayo.
 
mwenyewe nimeiona na imezidi kuniongezea chuki na hawa mabwana, ni wabaguzi mnoo alafa wanajiita Watz. Ukiona anajikomba kwako ujue anataka kitu kwako, wanatuona kama mbwa, nimejikuta nikiwafinya watoto zao nnapopishana nao ktk misongamano huko Kariakoo
 
Hao ni wabaguzi sana, jiulize tu tunaishi nao na wanajiita watanzania lakini hawaoani na sisi, hawaishi maeneo yetu wanajitenga kabisa mie kwenye hili la wahindi huwa namuunga mkono marehem Mtikila
Tupo pamoja
 
Mhindi hawazi kuwa mwafrika hata siku moja. Huu uraia wanaushikilia tu kwasababu ya maslahi yao lakini si kwasababu wanaipenda Tanzania au Afrika.
 
kuna Picha imesambaa mitandaoni ikimuonyesha MO akisherekea birthday yake na top executives wake ofisini kwa kukata keki.

Ofcourse, KUKATA keki si habari, ila cha kushangaza ni kwamba katika hao TOP EXECS wote ni wenye asili ya ASIA, hakuna mtanzania mwenye asili ya hapa TANGANYIKA hata mmoja.

Mo seriously?? huna top execs watanganyika asilia?? au hakuna wanao qualify kuwa katika team yako ya juu?? au hukuwaalika kukata keki hata mmoja( i doubt this)

This can not be muted, i thought you where a good man of diversity .......SERIOUSLY
Mkuu SONGOKA kabla kuutuma Uzi huu ulitakiwa kudodosa kidogo historia ya kampuni hiyo. Uliwahi kusikia shirika lililoitwa GAPEX ? Unajua moja ya hoja zilizompa umaarufu mgombea urais wa NCCR-Mageuzi kwenye kampeni za mwaka 1995 zilihusu kampuni hiyo? Mkuu usifukue makaburi. Ushauri wangu katafute magazeti ya Rai, motomoto, mfanyakazi na majira ya mwaka kati 1992-1995. utapata sababu ya hoja zako
 
Subiri arudi kujitetea!! Atasema watu wake wote walio karibu nae ambao ni weusi atasema miradi yake yote aliotekeleza na weusi....yaani Namuonea huruma sana kwa jinsi atakavyotumia nguvu kusawazisha hilo! Pole sana MO ndio hivyo imetokea tena sijui ilikuwa siku ya msiba tuna majonzi wewe hujatoa pole maana jamii ile pia ni wateja wako.....unakata cake tena ya ubaguzi! Pole
 
Watu wa asili ya Asia, yaani, wahindi na waarabu wana tujikasoro twao. Akiwa na shida kwako atakutafuta kwa bidii mnoo na kukuonesha kila namna ya unyenyekevu. Sasa basi, akimaliza jambo lake ndipo utaijua nyeusi na nyeupe kwa uzuri. Kwa ufupi, anakuwa hana muda nawe. Ukikutana naye anajidai kutwa anasikiliza simu tu. Usipoteze muda fanya yako ndugu.
 
kuna Picha imesambaa mitandaoni ikimuonyesha MO akisherekea birthday yake na top executives wake ofisini kwa kukata keki.

Ofcourse, KUKATA keki si habari, ila cha kushangaza ni kwamba katika hao TOP EXECS wote ni wenye asili ya ASIA, hakuna mtanzania mwenye asili ya hapa TANGANYIKA hata mmoja.

Mo seriously?? huna top execs watanganyika asilia?? au hakuna wanao qualify kuwa katika team yako ya juu?? au hukuwaalika kukata keki hata mmoja( i doubt this)

This can not be muted, i thought you where a good man of diversity .......SERIOUSLY
Wahindi na waarabu na wachina ni wabaguzi sana. Kuna duka linairwa cash sale store wanauza vifaa vya Umeme Moro rd DSM, wafanyakazi ni wahindi watupu, weusi ni wabeba mizigo tu
 
kuna Picha imesambaa mitandaoni ikimuonyesha MO akisherekea birthday yake na top executives wake ofisini kwa kukata keki.

Ofcourse, KUKATA keki si habari, ila cha kushangaza ni kwamba katika hao TOP EXECS wote ni wenye asili ya ASIA, hakuna mtanzania mwenye asili ya hapa TANGANYIKA hata mmoja.

Mo seriously?? huna top execs watanganyika asilia?? au hakuna wanao qualify kuwa katika team yako ya juu?? au hukuwaalika kukata keki hata mmoja( i doubt this)

This can not be muted, i thought you where a good man of diversity .......SERIOUSLY
Ubaguz wa langi
 
Jibu zuri sana.
Tukuyu ivi uko kwenu mbona kumesahaulika sana ni nchi ya malawi au nayenyewe Tz..nasisi watufikilie bhaana flyover ,,tren mwendo kasi viwanda..sijui tulimuuzi nn boss
 
Back
Top Bottom