miambovu
JF-Expert Member
- Nov 17, 2016
- 375
- 789
kulikuwa na mtanzania mwenye asili ya kihindi akiwa waziri wa mambo ya ndani kama sikosei kipindi cha KikweteKweli hakuna mtanzania mwenye vigezo?
Inawezekana kweli Wahindi wanajibagua sana, tukiacha wale wahindi wa Zamani wazalendo waliokuwa Polisi, jeshini nk. Hibi kweli kwa miaka hii umeshawahi kumuona Muhindi Mwanajeshi, Police, uhamiaji, Fire, Magereza nk. Au kwenye ofisi yoyote ya Seriakli au Wizara yoyote?