mizambwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2008
- 4,421
- 1,792
Moyo unauma sana kisa hanitaki tena, sijajua kama ni hasira au ameamua kabisa sababu ya msingi siioni, ila ndo kaniblacklist, bad enough I was so committed na nilimpenda kwa Moyo wote kabisa, nikampa heshima zote anazostahili mume, I wish to move on but sina uhakika if I can love again, my heart fails me.
What do I do now?
Pole sana
Yaani Moyo umepasuka kama huyu!!!
MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!