babyclassic
JF-Expert Member
- May 22, 2015
- 227
- 39
prado
I assume and beleave to be true that...Una upeo mzuri and so u date a person mwenye upeo mzuri pia...basing on this assumption nw....naamini lazima kutakua na sababu ya yeye kufanya hivyo....iwe kubwa or ndogo....reasonable or unreasonable....and mind you...KWENYE MAPENZI HAKUNA JAMBO DOGO.....
So..my advice is....find him...tok to him face to face....then find out from him what hapened....kama ulimkosea pasipo kujua...u know wat to do....na kama ana mambo yake tuu....u l know what to do in a better way kuliko kukaa tuu na hujui exactly what is goin on.. (sory for mixing up languages).
Pole san hat Mimi yalinikuta kama yako but now nishaanza kusahau najichanganya na watu naangalia muv na kuchza gem
Pia epuka kukaa mwenyew na kusikiliza nyimbo za taratibu kama kuna watoto jaribu kua nao karibu ukicheza nao. Yataisha tuuu
Pole sanaaaaaa akikukataaa jua kakuepusha na mengi
Last edited by a moderator: