jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,053
- 28,245
Hivi umesoma hili bandiko uliloleta au ?Mkuu
Uingereza walishajitoa siku ile walipo trigger article 50.
Hivyo baada ya miaka 2 baada ya ku trigger article 50 uanachama wao ndani ya EU unakoma automatically. Hayo majadiliano ni jinsi tu ya ku deal na common interests kama vile wananchi wa EU walioko UK itakuwa je na kinyume chake vilevile. Na kwa mfano watavyotozana ushuru ktk soko la pamoja la EU. Hivyo wajadiliane ama wasijadiliane baada ya miaka miwili UK anakuwa nje ya EU kwa style ya hard exit.
Brexit begins: The UK now has two years to untangle itself from the European Union
Brexit begins: The UK now has two years to untangle itself from the European Union
Yaani umetuletea maoni kama ya Jingalao ndio unayafanya kama reference...halafu ninyi ndio mnatutisha kuwa siasa za UK ni maji marefu.