Mathias Byabato
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 1,020
- 691
Wapenda nipo kwenye msafara wa PM katika mkoa wa Kagera.Amehutubia wananci hapa chato na kuagiza kusitishwa kwanza zoezi la bomoa bomoa kando ya barabara na lile zoezi la mabango kupigwa alama ya X nalo limesitishwa kwanza.......
tupo pamoja
mb
tupo pamoja
mb