Ah sasa wabongo mmezidi jamani hata jina la sehemu mnalibadili kisa linataja maumbile yetu???
Pale ni M.A.T.A.K.O Bar bwana hebu jembe liitwe jembe wajameni....
Afu hii sred imekaa kiugomvi kabisaaa
Natamani niwe @Eirickb52, au sijui ninunue ugomvi?
Mambo gani ya kukumbushana machungu haya we jamaa!
usije ukanunua ugomvi ambao huuwezi mkuu jouneGwalu
Erickb52 yalimkuta haya na aliipta pata huko dar na ndo maana hathubutu kukanyaga huko we mwache aiskumbushiwe machungu yake
Last edited by a moderator: