Yeah Erickb52 haikuwa yako wala halikuwa limeandikwa kwako bora lilitoka mapema ukafocus kwenye issue nyingine za maisha kuliko ungebaki na kitu cha kukusumbua maishani mwako ujutie
Last edited by a moderator:
Heheheeee umeona eeeeehYeah Erickb52 haikuwa yako wala halikuwa limeandikwa kwako bora lilitoka mapema ukafocus kwenye issue nyingine za maisha kuliko ungebaki na kitu cha kukusumbua maishani mwako ujutie
Mtambuzi sio mzee wa majungu ila anatoa fact za maisha na waru walivyotoka mbali kwenye issue za maishaHeheheeee umeona eeeeeh
Hivi hawa wazee wa majungu wenzako mnaojiita Mjungu Squard imemsajili na Mtambuzi ?
Naona anafaaa sana kuwa mwanachama wenu
haya tumesikia ya ****** BAR ni zamu ya kusikia ya MADHARAU BAR wana A city fungukeni!?
Oyaaaa, Nicas Mtei, njoo pande hii aisee....!
Mr Rocky amesha confirm kuwa ni mshakji Erickb52, kwani alishawahi kuwasimulia walipokuwa pale Arusha Night Pack ila alipotosha ukweli.....LOL