Oscar Lyrics
JF-Expert Member
- Oct 8, 2022
- 2,974
- 5,108
Yule binti alitumia nguvu kubwa sana kunishawishi, hadi nikahisi labda anataka kuniambukiza maradhi, Nilimpuuza sana, hadi akaanza kunitolea maneno ya dharau, ananiambia eti au we siyo mwanaume rijali,
Sikumwambia rafiki yangu kwa kuogopa kuvunja urafiki wetu, jamaa hakujua wala kuhisi kinachoendelea,
Baada ya kuona dharau zimezidi nikaamua kumtolea uvivu, Nikamshghulikia kwelikweli, nikiapa itakuwa mara moja tu. Nb Tulicheki afya
Yule binti hakukoma kunisumbua, kwa bahati nzuri ilitokea nikahamia mkoa mwingine ndo ikawa mwisho .
Jamaa yangu tunawasiliana vizuri tu kama vile hakuna kilichotoea,
Wakati mwingine unaweza kutenda jambo bila kupenda.
Kwa upande wako umewahi kutoka na mpenzi wa rafiki yako? ilikuwaje, na uliwezaje kutoka kwenye huo mtego ukiwa salama?
Sikumwambia rafiki yangu kwa kuogopa kuvunja urafiki wetu, jamaa hakujua wala kuhisi kinachoendelea,
Baada ya kuona dharau zimezidi nikaamua kumtolea uvivu, Nikamshghulikia kwelikweli, nikiapa itakuwa mara moja tu. Nb Tulicheki afya
Yule binti hakukoma kunisumbua, kwa bahati nzuri ilitokea nikahamia mkoa mwingine ndo ikawa mwisho .
Jamaa yangu tunawasiliana vizuri tu kama vile hakuna kilichotoea,
Wakati mwingine unaweza kutenda jambo bila kupenda.
Kwa upande wako umewahi kutoka na mpenzi wa rafiki yako? ilikuwaje, na uliwezaje kutoka kwenye huo mtego ukiwa salama?