hawa jamaa wa brac jamani wajipange sawa sawa. Niliona tangazo humu ndani juzi kuwa wanataka afisa mikopo. Mi ni mmoja wa walio2ma maombi. Baada ya siku kama 4 hv nkapata sms ikinitaharifu kuwa niwapigie kwa ajili ya kujaza fomu. Kupiga eti mdada kwenye cm anasema ni2me elfu 8 ndo an2mie fomu. Kuna kaz kwel hapo wana jamvi?