Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 1,898
- 3,660
Tia neno kama unafatilia mapambano yanayoendelea
Bondia Mtanzania Twaha Kiduku amefanikiwa kushinda pambano lake dhidi ya Harpreet Singh wa India kwa TKO baada ya kumalizika Raundi ya Tano.
Ngumi mfululizo zilizotua usoni kwa mpinzani hasa kuanzia Raindi ya Nne na Tano zilimfanya Singh kukubali matokeo katika Raundi ya Tano na kushindwa kuendelea na pambano.
Bondia Mtanzania Twaha Kiduku amefanikiwa kushinda pambano lake dhidi ya Harpreet Singh wa India kwa TKO baada ya kumalizika Raundi ya Tano.
Ngumi mfululizo zilizotua usoni kwa mpinzani hasa kuanzia Raindi ya Nne na Tano zilimfanya Singh kukubali matokeo katika Raundi ya Tano na kushindwa kuendelea na pambano.