Braza Kede
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 1,898
- 3,660
- Thread starter
- #21
ila hawa watangazaji sio aisee
huyu akacheze comedy na kina kingwendu sasaMandonga naye bhana
Vipi wamemuua?huyu akacheze comedy na kina kingwendu sasa
Lazima ashinde maana wenye bondia wao, Azam, wameamua kumletea bondia wa kumrejesha kwenye ujiko wake baada ya kula kipondo game yake ya mwisho.Kidukuu anashinda hii
Siku atakutana na mwamba atalazwa chiniMandonga naye bhana
Kumbe 😂😁Lazima ashinde maana wenye bondia wao, Azam, wameamua kumletea bondia wa kumrejesha kwenye ujiko wake baada ya kula kipondo game yake ya mwisho.
Ova
Kwa hiyo siku hiyo Azam tv hawakuwepoLazima ashinde maana wenye bondia wao, Azam, wameamua kumletea bondia wa kumrejesha kwenye ujiko wake baada ya kula kipondo game yake ya mwisho.
Ova
Waliingia choo cha kike. Waliamini anamuweza.Kwa hiyo siku hiyo Azam tv hawakuwepo
Huyo hadi afie ulingoniMandonga aache ngumi
Jab=ngumiJabu ndiyo nini..?!