Boti mpya ya Bakhresa yawasili

Boti mpya ya Bakhresa yawasili

Mkuu, manunuzi ya serikali ni tofauti, huku lazima watu waongeze sifuri, rimu ya karatasi tu kwa tenda ya serikalini inafikia 25,000!!maji makubwa ya uhai lita 1.5,kwa serikalini ni 5000!!!

Kweli Mkuu . Fagio elfu kumi.
 
Yale mabasi yako wapi mzee tuangalie na sie wa bara
 
Mkuu, manunuzi ya serikali ni tofauti, huku lazima watu waongeze sifuri, rimu ya karatasi tu kwa tenda ya serikalini inafikia 25,000!!maji makubwa ya uhai lita 1.5,kwa serikalini ni 5000!!!

Sielewagi kabisa maana ya hii sheria ya manunuzi, na wanavyoikomalia sasa!!??
 
Yale mabasi yako wapi mzee tuangalie na sie wa bara
Hahhaa,mkuu yale Mabasi 200 aliotaka kuyamwaga Dar kwenda mikoani alisitisha.
Wamiliki wa Mabasi Dar njaa ingewauwa.

Ila nahisi kwa hili la Migomo Dara ambapo wamiliki hawataki kutoa Mikataba kwa Maderava na wanakimbia mikutano na madereva,basi wakizingua tu atayamwaga.Maana mwanzo Serikali iliminya kimtindo kwa kuongea na mtu mzima kwamba,babaeee huku kuna undeground wenye mabasi ya mkopo watakufa njaa,kumbe wanaosaidiwa kuombewa nao majeuri kama nini
 
Kwa kumbukumbu zangu siku ya uzinduzi wa Kilimanjaro 4 au 3. Bakhresa Alisema anataka kufanya kama daladala.
Yaani hii inaondoka na hii inapakia abiria,so more Kilimanjaro zinakuja
 
huyu Bakhresa ana pesa sana hii boti utasikia JK akienda kuizundua
 
Huyu mzee huyu ni hatari sana kwa uwekezaji...safi lakini.

Huyu ndiye Captain wa hiyo Boti mpya ya Bakhresa (Kilimanjaro V) akielekea mzigoni. Abiria mjiandae kwa safari ya zenji kupitia kona za Nungwi.....
11392874_1587074361561329_1521033638984090551_n.jpg


10636797_915950081761649_6897707635366374630_o.jpg

11121885_915950111761646_875212604681622623_o.jpg

11121885_915950111761646_875212604681622623_o.jpg

11203168_893484854008172_75557025635006679_n.jpg

11141198_893484764008181_4768830239767587997_n.jpg

11209444_893484797341511_2043653922812312017_n.jpg

11160669_891466257543365_20661923256741457_n.jpg

11200643_891466244210033_3716398605844022836_n.jpg

11052368_882479238442067_8744499326170773465_n.jpg

11052368_882479261775398_3608484894411219134_n.jpg
 
Uzuri wa hawa wenzetu wenye asili ya kiarabu na kihindi wanajali sana undugu kwenye kuendeleza biashara zao na wanazisimamia kutoka moyoni ili ziendelee kunufaisha vizazi vyao.. Yaani utakuta mtoto wa mjomba anasimamia kampuni kama ya baba yake na mjomba nae anamjali kama mwanae ilimradi kampuni iendelee.. Endelea kutuletea huduma bora Bakhresa :flame:


 
Hongera kwake...wazenj hukiita chombo!,yakheee chombo kipya hicho...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom