KASHOROBANA
JF-Expert Member
- Jul 30, 2011
- 3,241
- 964
hana degree ya chuo kikuu kinachotambulika na serikali
tumsimamishe ukawa
hana degree ya chuo kikuu kinachotambulika na serikali
Elezea ukubwa, material iliyotumika na kadhalika ili tujue vizuri. Kuna baiskeli ya 100,000/= na kuna baiskeli ya 500,000/=
Halafu utasikia Kinana na Nape wamekimbilia kwenda kuizindua!
awapakii bia! leseni haizuii mnatubagua!
Hahaha,aisee we ipo Masai ogopa sama kwenye majiAisee kwa mwendo huu mwaka huu lazima nikatembee Zenji maana kwa hiyo boti hata maji siogopi tena.
Mkuu, manunuzi ya serikali ni tofauti, huku lazima watu waongeze sifuri, rimu ya karatasi tu kwa tenda ya serikalini inafikia 25,000!!maji makubwa ya uhai lita 1.5,kwa serikalini ni 5000!!!
Mkuu, manunuzi ya serikali ni tofauti, huku lazima watu waongeze sifuri, rimu ya karatasi tu kwa tenda ya serikalini inafikia 25,000!!maji makubwa ya uhai lita 1.5,kwa serikalini ni 5000!!!
Hahhaa,mkuu yale Mabasi 200 aliotaka kuyamwaga Dar kwenda mikoani alisitisha.Yale mabasi yako wapi mzee tuangalie na sie wa bara
awapakii bia! leseni haizuii mnatubagua!
Huyu mzee huyu ni hatari sana kwa uwekezaji...safi lakini.
Aisee kwa mwendo huu mwaka huu lazima nikatembee Zenji maana kwa hiyo boti hata maji siogopi tena.
Fedha yetu imekosa thamani kiasi cha boti kununuliwa tsh.4b/=,mwaka jana ingenunuliwa kwa tsh.2b/= tu.Hongera yetu wtz kwa kuendelea kuwashangilia CCM
Elezea ukubwa, material iliyotumika na kadhalika ili tujue vizuri. Kuna baiskeli ya 100,000/= na kuna baiskeli ya 500,000/=