Boti mpya ya Bakhresa yawasili

Boti mpya ya Bakhresa yawasili

Ndesaika

Ubora umeupimaje? Kwasababu ya hio rangi inayong'aa na vioo?!!
 
Last edited by a moderator:
Ndesaika

Embu toa specifications za hizo boti mbili ,I mean hiyo ya bakhresa na hiyo ya serikali ili tuone kama kuna tofauti ,ndiyo tuanze kutoa maoni
 
Last edited by a moderator:
Halafu utasikia Kinana na Nape wamekimbilia kwenda kuizindua!

Hahaha wamenifurahisha huko geita eti wameenda na ma uniform yao ya ccm kuzindua kivuko cha mtu binafsi ingekuwa mimi ni mmiliki wa kile kivuko nisingekubali
 
Hivi kila anapokwenda Kinana lazima awe na Nape? Najiuliza tuu , nadhani Nape alistahili kuwa na mikutano yake sio?

Mkuu acha utani! Hivi unamuona Nape kama mtu anayeweza kuitisha mkutano akiwa peke yake na watu wakaacha shughuli zao kumsikiliza!
 
Ndesaika

Boat ya MV dar es salaam inapark Mbegani ikija Mjini inabeba abiria 3 na crews 8
My God! Still kuna watu humu mspovu yanawatoka kutetea ujinga, bora wawe wachawi tujue moja
 
Last edited by a moderator:
Nimeiona wanaionesha leo kwenye habari ya Azam, dah! hiki kitu bwana kimesimama kama ndege ilivyo kwa ndani.. ni shiiidaaa, na wamesema nauli ni zile zile kama zilizokuwepo kwenye ile nyingine, haya wasafiri kila la kheri!
 
Huyu mzee Bakhresa akigombea kupitia UKAWA nampigia kura.
 
Hana degree ya chuo kikuu kinachotambulika na serikali

Mkuu mbona Uingereza iliwahi kuongozwa na Waziri Mkuu (John Major) mwenye cheti cha Sekondary, mantiki ya ku-insist kwamba mgombea lazima hawe na shahada ya Chuo Kikuu sielewi kabisa!!! Jacob ZUMA ana degree ngapi?
 
Ubora umeupimaje? Kwasababu ya hio rangi inayong'aa na vioo?!!

Well said mkuu, actually naona zote ni design ya aina ya Catamaran, vile vile ukilinganisha ukubwa utaona ya Bagamoyo imezidi ya AZAM.
 
The man [Bakhresa] is serious with business bhana. Namshauri agombee hata ubunge somewhere hakika hatakosa
 
Umeona bia tu,pombe itakuuwa hiyo.pakia vitu vya maana ufaidike wewe na familia yako.
 
Ile ya serikali ni bomu alafu haina kasi.Wizi mtupu.

Pongezi za dhati kwa ndg.bakhresa kwa kionyesha njia
 
Mkuu mbona Uingereza iliwahi kuongozwa na Waziri Mkuu (John Major) mwenye cheti cha Sekondary, mantiki ya ku-insist kwamba mgombea lazima hawe na shahada ya Chuo Kikuu sielewi kabisa!!! Jacob ZUMA ana degree ngapi?

unataka tuongozwe na lukuvi mzee wa vyeti
 
ila izo merit zimejaa ubaguzi ktk kutoa huduma. mizigo aina ya via hawapakii? kwani leseni ya biashara ililuhusu ubaguzi huo? watoa leseni mnataalifa iyo?

Ni boti ya abiria sio boti ya mizigo! Hata daladala tu huwa zinakataa mizigo...
 
Back
Top Bottom