Boti mpya ya Bakhresa yawasili

Boti mpya ya Bakhresa yawasili

Sio kila mwenye mafanikio agombee Ubunge au Urasi.

Muda unaoptoeza kwenye nafasi hiyo ni sawa na kupoteza Mabilioni yapesa.

Ndiovyo mungu alivyogawa watu kwa nafasi zao
 
ila izo merit zimejaa ubaguzi ktk kutoa huduma. mizigo aina ya via hawapakii? kwani leseni ya biashara ililuhusu ubaguzi huo? watoa leseni mnataalifa iyo?

Nakushauri ununue yako kisha uwe unapakia gongo, mirungi, bangi....
 
Kilichobaki sasa ahamie kanda ya ziwa tu hizo za Zenji zinatosha sasa huku nako kuna watanzania wanahitaji huduma zake kama wanavyonunua Unga,maji,nyanya,Nazi nk
 
Mkuu mbona Uingereza iliwahi kuongozwa na Waziri Mkuu (John Major) mwenye cheti cha Sekondary, mantiki ya ku-insist kwamba mgombea lazima hawe na shahada ya Chuo Kikuu sielewi kabisa!!! Jacob ZUMA ana degree ngapi?

Sheria za Tanzania bila degree ya chuo kikuu urais sahau, labda mpaka zitakapobadilishwa.
 
Ndesaika

hebu tuwekee picha ya hiyo boti ya ccm tulinganishe na hii ya baresa
 
Last edited by a moderator:
Kilichobaki sasa ahamie kanda ya ziwa tu hizo za Zenji zinatosha sasa huku nako kuna watanzania wanahitaji huduma zake kama wanavyonunua Unga,maji,nyanya,Nazi nk

alishajaribu kupeleka boti 2 magufuli akamzuia kasema ataharibu barabara zake. ila kenya kupitia mombasa walikubali.
 
alishajaribu kupeleka boti 2 magufuli akamzuia kasema ataharibu barabara zake. ila kenya kupitia mombasa walikubali.

Alikuwa siyo Bakhresa mkuu. Alikuwa ni yule mwenye boti za sea express
 
Hana degree ya chuo kikuu kinachotambulika na serikali


Mkuu sasa wenye degree na uprofesa wamelifanyia nini taifa letu? tena wengine wana degree za uchumi ungetegemea hilo ndilo eneo lao la kujidai watumie utaalamu wao wote uchumi wetu uneemeke. Tumeishia kuwa ombaomba:rant:
 
Mkuu sasa wenye degree na uprofesa wamelifanyia nini taifa letu? tena wengine wana degree za uchumi ungetegemea hilo ndilo eneo lao la kujidai watumie utaalamu wao wote uchumi wetu uneemeke. Tumeishia kuwa ombaomba:rant:

Mkuu ndio sheria yetu hapa Tz inavyotaka.
 
Kilichobaki sasa ahamie kanda ya ziwa tu hizo za Zenji zinatosha sasa huku nako kuna watanzania wanahitaji huduma zake kama wanavyonunua Unga,maji,nyanya,Nazi nk

huko wa.sa.la.mu wachache kuna a.k.a makafiri wengi ndio mana hawaletei
 
Ndesaika

hebu tuwekee picha ya hiyo boti ya ccm tulinganishe na hii ya baresa

hiyo boti siku moja ilikua inajinadi ikaja karibu na upqnde wa posta kimsingi ni kimeo kwa mwonekano wa nje sasa ndani sijui
 
Last edited by a moderator:
Watu wa chadema bhana kila kitu ccm kila kitu ccm, wenyeviti na makatibu wana nyumba mpaka uarabuni sio pesa ya walipa kodi, watu kila mwezi wanapewa miillioni 300 za kuendeshea chama zinafanya nini hata banda la mbao hawana, wanataka upewe nchi hata ofisi ya chama ni ya kupanga, wanakula wao tu tuleteeni basi na sisi tule michango ya vifo inaliwa tu tunaumia kwa ajili ya chama chadema acheni ufisadi akina mbowe na timu yako
 
Watu wa chadema bhana kila kitu ccm kila kitu ccm, wenyeviti na makatibu wana nyumba mpaka uarabuni sio pesa ya walipa kodi, watu kila mwezi wanapewa miillioni 300 za kuendeshea chama zinafanya nini hata banda la mbao hawana, wanataka upewe nchi hata ofisi ya chama ni ya kupanga, wanakula wao tu tuleteeni basi na sisi tule michango ya vifo inaliwa tu tunaumia kwa ajili ya chama chadema acheni ufisadi akina mbowe na timu yako

Sikujua kwamba kuna watu wapumbavu sana kama wewe
 
Back
Top Bottom