Boti mpya ya Bakhresa yawasili

Boti mpya ya Bakhresa yawasili

Mkuu mbona Uingereza iliwahi kuongozwa na Waziri Mkuu (John Major) mwenye cheti cha Sekondary, mantiki ya ku-insist kwamba mgombea lazima hawe na shahada ya Chuo Kikuu sielewi kabisa!!! Jacob ZUMA ana degree ngapi?

kwa hiyo unafananisha certificate ya john major na lukuvi..au sekondar ya britain na Tanzania?
Think big
 
D
unataka tuongozwe na lukuvi mzee wa vyeti

Kwani tatizo liko wapi mkuu,kwani wananchi wengi uncluding wabuge wa upinzani na wa chama tawala wanasemaje kuhusu utendaji wa kazi wa MKWAVINYIKA?? Lundo la vyeti sio kila kitu.
 
Azam Aisaidie Serikali Ya Viwanda Kwenye Usafiri Na Mbinu Ya Manunuzi
 
....bakhresa ni mfanyabiadhara anayetumia wasomi kwenye biashara zake ndio maana anafanikiwa....nimewahi kukutana na watu wake wa lab pale airport wanasindikiza mzigo wa hamira iliyo expire kuirudisha Germany kiwandani ili wambadilishie....hakika niliamini anawatumia wasomi ipasavyo...
 
Yule mpiga madili mashuhuri Serikalini nanihii alishapiga dili zito hapa. Boti jipya kabisa la Bakhessa bilioni nne tu, boti la mpiga dili la mwaka 1978 boti uozo bilioni 8 limetembea wiki tu sasa liko juu ya mawe na mhusika kauchuna kimya ndani ya Ikulu utadhani siye.

Boti hii ina sadikika imegharimu 4 billion tu !! lakini cha kushangaza Boti iliyo nunuliwa na Serikali yetu kwa ajili ya usafiri wa Bagamoyo na ikiwa na ubora usiolingana na hii , imegharimu 8 billion.

Kwa hakika Tanzania ni shamba la Bibi mafisadi wanafaidi kwa mrija bila woga. !!
View attachment 263330
 
Jamaa Wakati Akiwa Bungeni Eti Alikuwa Anajibu Hoja Za Wauliza Maswali Kwa Takwimu Kumbe Kapiga Deals
Hii Nchi Ni Aibu Sana
Magazeti Hata Kuanza Kufufua Hii Ya Boti Wanaogopa Wako Kimya.
Nimeipanda Hii Boti Ni Nzuri Sana Siyo Hiyo Ya 1978
Wakati Wa Vita Sijui Ya Nduli Idd Amini
 
....bakhresa ni mfanyabiadhara anayetumia wasomi kwenye biashara zake ndio maana anafanikiwa....nimewahi kukutana na watu wake wa lab pale airport wanasindikiza mzigo wa hamira iliyo expire kuirudisha Germany kiwandani ili wambadilishie....hakika niliamini anawatumia wasomi ipasavyo...
Mali bira daftari huisha bila habari
 
Back
Top Bottom