Shomile:
Mbona unalidhalilisha jina lako bwana!
Wewe ni 'Nsomile' halafu unatuwekea habari kama mtu ambaye hakwenda shule?
Kichwa cha habari ulivyokiweka hakiendani kabisa na habari uliyoitoa. Kwa mfano, ni vyanzo vipi vya uchunguzi; na huku unatuwekea udaku wa mtu aliyepewa mtaji aanzishe biashara?
Ni nani aliyefanya 'uchunguzi' unaouzungumzia na kwa sabau zipi?
Kwa nini huyomwenye kutoa hizo habari asimpeleke huyo mchunguzi wa habari kwa chanzo chenyewe halisi, yaani kwa Balali mwenyewe ili apate nafasi ya kujisafisha jina lake na kuwasuta wabaya wake waliomtakia kifo.
Kwa ujumla, umeifanya habari iwe ya udaku zaidi jinsi ulivyoileta, hata kama ndani yake kuna hata chembe ndogo ya ukweli.
Halafu, mbona umeibandika mara mbili hapa hapa kwenye jamvi la siasa?
Mbona unalidhalilisha jina lako bwana!
Wewe ni 'Nsomile' halafu unatuwekea habari kama mtu ambaye hakwenda shule?
Kichwa cha habari ulivyokiweka hakiendani kabisa na habari uliyoitoa. Kwa mfano, ni vyanzo vipi vya uchunguzi; na huku unatuwekea udaku wa mtu aliyepewa mtaji aanzishe biashara?
Ni nani aliyefanya 'uchunguzi' unaouzungumzia na kwa sabau zipi?
Kwa nini huyomwenye kutoa hizo habari asimpeleke huyo mchunguzi wa habari kwa chanzo chenyewe halisi, yaani kwa Balali mwenyewe ili apate nafasi ya kujisafisha jina lake na kuwasuta wabaya wake waliomtakia kifo.
Kwa ujumla, umeifanya habari iwe ya udaku zaidi jinsi ulivyoileta, hata kama ndani yake kuna hata chembe ndogo ya ukweli.
Halafu, mbona umeibandika mara mbili hapa hapa kwenye jamvi la siasa?