- Thread starter
- #41
Mr Mikael
Hilo swala la Watanzania(waafrika) wakiwa na watu weupe hasa ulaya na Marekani hua wanafanya vizuri mnoo mie bado najiuliza hua nini haswa ? lakini huyo huyo ukimchanganya nyumbani ndiyo mborongaji mzuri
Hii si ki elimu tu hata ukianglia mpira wa mguu waafrika wanapochezea timu zao za ulaya wakichanganyikana na wazungu hua wanacheza vizuri mnoo lakini hao hao wakija kwenye timu yao ya taifa unaona kiwango kipo chini mnoooooo.
Mie hua wakati mwingine nafikiri wenda waafrika hua tunakitu kidogo tuna kimiss tunapokua wenyewe na ikitokea ukachanganyikana na mzugu hiyo weekness wenda mzungu hua ana i overcome na tunafanya vizuri.
Hilo swala la Watanzania(waafrika) wakiwa na watu weupe hasa ulaya na Marekani hua wanafanya vizuri mnoo mie bado najiuliza hua nini haswa ? lakini huyo huyo ukimchanganya nyumbani ndiyo mborongaji mzuri
Hii si ki elimu tu hata ukianglia mpira wa mguu waafrika wanapochezea timu zao za ulaya wakichanganyikana na wazungu hua wanacheza vizuri mnoo lakini hao hao wakija kwenye timu yao ya taifa unaona kiwango kipo chini mnoooooo.
Mie hua wakati mwingine nafikiri wenda waafrika hua tunakitu kidogo tuna kimiss tunapokua wenyewe na ikitokea ukachanganyikana na mzugu hiyo weekness wenda mzungu hua ana i overcome na tunafanya vizuri.