GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,548
- 108,879
Kuna Watu Wawili ambao nilikuwa nikiwaheshimu na kudhani kuwa wapo 'very smart' na kwamba hawataingia katika 'Mtego' wa Kufarakanishwa (Kugombanishwa) lakini bahati wameuongia huo 'Mtego' tena vizuri sana tu.
Leo hii GENTAMYCINE nasikitika kuona kuwa Mtu ambaye kwa Miaka takribani Miwili Mitatu alikuwa akimtetea, akimpigania na hata Kutuhamasisha Watanzania tumpe nchi kutokea Upinzani 'Kamgeuka' huyo Mtu mpaka anaaza 'Kumdhalilisha' na kaahidi 'Kumdhalilisha' zaidi kwa kutoa 'Siri' zake kama akisikia atagombea tena Urais mwaka 2025.
Kama kuna Watu ambao nilitegemea wangekuwa 'that watchful' kuepuka 'Mtego' wa wao 'Kugombanishwa' ni hawa Wawili huku Mtu mwingine aliyekimbia Taasisi Nyeti (Muhimu) Tanzania ambaye pia hujifanya ni 'Swahiba' wa hawa Wawili ndiyo akitumika vyema katika 'Kuwafarakanisha' na tayari ameshafanikiwa 99.9% hivi.
Leo imenibidi niyakumbuke maneno aliyowahi kuyasema Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere ambayo nayanukuu kidogo.."vyama vingi vya Upinzani nchini Tanzania ni Vibovu Vibovu na visipobadilika na Kujipanga vyema CCM itaendelea Kuongoza hadi Kiama kije", alisema.
Na kama kuna Watu wapo ama 'State' au katika 'System' wamefanikisha hili la Kuwagombanisha (Kuwafarakanisha) hawa 'Magwiji' Wawili wa Kidemokrasia na Uanaharakati nchini na 'Mitandaoni' na huyo 'Mtu Kati' mwingine GENTAMYCINE nawapa Kongole (Pongezi) mno.
Na ikiwezekana waongezewe hata Mishahara kwani wameweza 'Kuwapigisha Shoti' Marafiki (Maswahiba) Wawili ambao tuliamini ni Watu wenye uwezo mkubwa wa Akili (Uwerevu) lakini sasa wanatuthibitishia kuwa na Wao ni wa 'hovyo hovyo' tu hivyo watuachie CCM yetu iendelee Kushika Dola na kutuletea Watanzania Maendeleo ya Kweli pamoja na Kutudumishia Amani yetu ambayo ndiyo Tunu ( Shani ) yetu Kimataifa tokea Uhuru wa Taifa hili (Nchi hii)
Leo hii GENTAMYCINE nasikitika kuona kuwa Mtu ambaye kwa Miaka takribani Miwili Mitatu alikuwa akimtetea, akimpigania na hata Kutuhamasisha Watanzania tumpe nchi kutokea Upinzani 'Kamgeuka' huyo Mtu mpaka anaaza 'Kumdhalilisha' na kaahidi 'Kumdhalilisha' zaidi kwa kutoa 'Siri' zake kama akisikia atagombea tena Urais mwaka 2025.
Kama kuna Watu ambao nilitegemea wangekuwa 'that watchful' kuepuka 'Mtego' wa wao 'Kugombanishwa' ni hawa Wawili huku Mtu mwingine aliyekimbia Taasisi Nyeti (Muhimu) Tanzania ambaye pia hujifanya ni 'Swahiba' wa hawa Wawili ndiyo akitumika vyema katika 'Kuwafarakanisha' na tayari ameshafanikiwa 99.9% hivi.
Leo imenibidi niyakumbuke maneno aliyowahi kuyasema Hayati Baba wa Taifa Mwalimu Nyerere ambayo nayanukuu kidogo.."vyama vingi vya Upinzani nchini Tanzania ni Vibovu Vibovu na visipobadilika na Kujipanga vyema CCM itaendelea Kuongoza hadi Kiama kije", alisema.
Na kama kuna Watu wapo ama 'State' au katika 'System' wamefanikisha hili la Kuwagombanisha (Kuwafarakanisha) hawa 'Magwiji' Wawili wa Kidemokrasia na Uanaharakati nchini na 'Mitandaoni' na huyo 'Mtu Kati' mwingine GENTAMYCINE nawapa Kongole (Pongezi) mno.
Na ikiwezekana waongezewe hata Mishahara kwani wameweza 'Kuwapigisha Shoti' Marafiki (Maswahiba) Wawili ambao tuliamini ni Watu wenye uwezo mkubwa wa Akili (Uwerevu) lakini sasa wanatuthibitishia kuwa na Wao ni wa 'hovyo hovyo' tu hivyo watuachie CCM yetu iendelee Kushika Dola na kutuletea Watanzania Maendeleo ya Kweli pamoja na Kutudumishia Amani yetu ambayo ndiyo Tunu ( Shani ) yetu Kimataifa tokea Uhuru wa Taifa hili (Nchi hii)