Wengine mnaropoka bila mipaka. Wapi alipokuambia amet**bwa ofisini?Nchi za Afrika (Kusini mwa jangwa la Sahara) ni Maskini kwa sababu tunaendekeza utombanaji maofisini. saa za kazi tunawaza mapenzi tu. Tofauti Na wenzetu wahindi, wachina na Wamarekani hawana maskhara kabisaa maofisini saa za kazi
Atapataje mimba wakati huyo mtoa Uzi ni mwanaume?Season inayofata, "Nimepata Mimba ya Boss, nifanyaje?"
Ukiondoka hapo nipe connection ya kaziSina mimba yake
Ndo nafanya mapngo nipate kazi kwingine nisimuone kabisa
Tatizo lako unajichukulia ww kuwa ndo wa kwanza kumegwa na huyo boss kumbe umeunga tela!!
Majuto ni mjukuu! Ulikosea sana kumvulia qp boss wako na kujimilikisha kumbe mwenzio ni mzee wa kuchakata kimasihara!!


Fanya kama unampotezea, unavyolialia na kumlaumu mda wote hivyo ndo unampa chance ya kukuumiza
Kua serious kila unapokutana nae kazini aone kama hauna mda na yeye...kila la kheriOkay ntafanya ivo
mahusiano ya kimapenzi eneo la kazi ni mtego mbaya sana kwa ustawi wa afya ya akili ya wahusika.Yaani members mlichokua mnanishauri kuhusu kumpenda boss wangu kumeanza kunitokea puani. Yaani since nime have sex nae Ana act weird leo ananipenda kesho ananipotezea na haishii hapo anaongea na staff wengine wanawake kimahaba ilimradi tu niumie, na Mimi nilishamwambia kuwa nachanganyikiwa ukiwa unaongea na wanawake wengine kiasi kwamba nashindwa kufocus kwenye kazi zangu.
Anajibu Basi nitapunguza kuja kazini. Na kuna huyo muhasibu Naona anampenda boss sana, na nilimuuliza boss wangu kuhusu huyo mwanamke akasema hawezi kutembea na yule, lakini yule mwanamke anavojishobokesha kwa boss mpaka roho inataka kunitoka yaani namchukia kupita maelezo sema tu na keep calm coz pale ni kazini.
Yaani hapo kazini napaona kama kituo cha polisi jamani, hapa nshaanza kutafuta kazi sehemu kwingine ili ni move on na ni Achane kabisa na boss wangu.
Wewe ni dume...full stop!
Ila story yako ina somo kwa madem.
Sasa strong and fearless halafu umepigwa katukio kidogo tu unalia lia kiasi icho
Tatizo girls mkipenda hamuambiliki hamshauriki. Kama hapo huyu manzi sign zote za kua hapendwi zinaonekana ila bado kakomaa still anaomba ushauri aishi nae vipi, ni ajabu sana.Nakazia 📌
Tulikushauri hukutaka kutusikia, mwanaume hatongozwi.
View attachment 2734606
Sio binadamu tu hata wanyama hiyo ni nature. Huyo jamaa atakutesa na hapo utaondoka tu mwenyewe. Na ikitokea option mfanyakazi mmoja anatakiwa kupunguzwa bosi wako atakuchagua wewe, maana unambania kinoma haenjoy na ubosi wake.
Soon utazaa nae na hiyo ndo itakua mnaachana rasmi.
Yuko na wewe sababu unapatokana kirahisi, mda wote anakuona akiwa na genye mshindo anakukula.
Mark my words.
Pole sana, bado una nafasi ya kurekebisha
Ni kweli,, shida yenu na nyie wanaume hamjui kukataa..asingeliwa wala asingeumia mdada wa watuTatizo girls mkipenda hamuambiliki hamshauriki. Kama hapo huyu manzi sign zote za kua hapendwi zinaonekana ila bado kakomaa still anaomba ushauri aishi nae vipi, ni ajabu sana.
Mtu anaekupenda na hataki kukupoteza si rahisi kurudia makosa anayojua yanakukwaza na anaweza kuyaepuka means si lazima kuyafanya.
Ni mpitaji ukitaka kumfanya awe wako kubali kuumia kila siku
Punguza wivu katika mahusiano yajayo
Najua umeandika hii ili upate like na comment.
Ukiona mwanaume kakukataa basi jichunguze mkuu.Ni kweli,, shida yenu na nyie wanaume hamjui kukataa..asingeliwa wala asingeumia mdada wa watu