Boss wangu ananiumiza hisia zangu

Boss wangu ananiumiza hisia zangu

Nchi za Afrika (Kusini mwa jangwa la Sahara) ni Maskini kwa sababu tunaendekeza utombanaji maofisini. saa za kazi tunawaza mapenzi tu. Tofauti Na wenzetu wahindi, wachina na Wamarekani hawana maskhara kabisaa maofisini saa za kazi
Wengine mnaropoka bila mipaka. Wapi alipokuambia amet**bwa ofisini?
 
Tatizo lako unajichukulia ww kuwa ndo wa kwanza kumegwa na huyo boss kumbe umeunga tela!!

Majuto ni mjukuu! Ulikosea sana kumvulia qp boss wako na kujimilikisha kumbe mwenzio ni mzee wa kuchakata kimasihara!!

 
Yaani members mlichokua mnanishauri kuhusu kumpenda boss wangu kumeanza kunitokea puani. Yaani since nime have sex nae Ana act weird leo ananipenda kesho ananipotezea na haishii hapo anaongea na staff wengine wanawake kimahaba ilimradi tu niumie, na Mimi nilishamwambia kuwa nachanganyikiwa ukiwa unaongea na wanawake wengine kiasi kwamba nashindwa kufocus kwenye kazi zangu.

Anajibu Basi nitapunguza kuja kazini. Na kuna huyo muhasibu Naona anampenda boss sana, na nilimuuliza boss wangu kuhusu huyo mwanamke akasema hawezi kutembea na yule, lakini yule mwanamke anavojishobokesha kwa boss mpaka roho inataka kunitoka yaani namchukia kupita maelezo sema tu na keep calm coz pale ni kazini.

Yaani hapo kazini napaona kama kituo cha polisi jamani, hapa nshaanza kutafuta kazi sehemu kwingine ili ni move on na ni Achane kabisa na boss wangu.
mahusiano ya kimapenzi eneo la kazi ni mtego mbaya sana kwa ustawi wa afya ya akili ya wahusika.

pole sana kwa kiherehere chako cha kujihusisha kimapenzi na staff mwenzako, utapigwa matukio mpaka akili ikukae sawa na huna lolote utaweza kumfanya, afterall he is your boss.

na akiona una dalili za kutaka kuchafua image yake kwa wivu wako wa kijinga, atakutengenezea mazingira upigwe chini.
 
Ushatumika hapo anakuona kama takataka kabisa hauna jipya ,anakuja mwanzo mwisho.
 
Nakazia 📌
Tatizo girls mkipenda hamuambiliki hamshauriki. Kama hapo huyu manzi sign zote za kua hapendwi zinaonekana ila bado kakomaa still anaomba ushauri aishi nae vipi, ni ajabu sana.

Mtu anaekupenda na hataki kukupoteza si rahisi kurudia makosa anayojua yanakukwaza na anaweza kuyaepuka means si lazima kuyafanya.
 
Tulikushauri hukutaka kutusikia, mwanaume hatongozwi.

View attachment 2734606
Sio binadamu tu hata wanyama hiyo ni nature. Huyo jamaa atakutesa na hapo utaondoka tu mwenyewe. Na ikitokea option mfanyakazi mmoja anatakiwa kupunguzwa bosi wako atakuchagua wewe, maana unambania kinoma haenjoy na ubosi wake.

Soon utazaa nae na hiyo ndo itakua mnaachana rasmi.
Yuko na wewe sababu unapatokana kirahisi, mda wote anakuona akiwa na genye mshindo anakukula.
Mark my words.

Nimeanza kukumbuka kuna siku alisema siweI kumpenda milele inaweza kutokea siku nikamchukia mazima
Sasa sijui ndo inarelatena ulichosema hapa
 
Tatizo girls mkipenda hamuambiliki hamshauriki. Kama hapo huyu manzi sign zote za kua hapendwi zinaonekana ila bado kakomaa still anaomba ushauri aishi nae vipi, ni ajabu sana.

Mtu anaekupenda na hataki kukupoteza si rahisi kurudia makosa anayojua yanakukwaza na anaweza kuyaepuka means si lazima kuyafanya.
Ni kweli,, shida yenu na nyie wanaume hamjui kukataa..asingeliwa wala asingeumia mdada wa watu
 
Mnaanzaje kulala na maboss zenu ofisini ...?!!
 
Ni kweli,, shida yenu na nyie wanaume hamjui kukataa..asingeliwa wala asingeumia mdada wa watu
Ukiona mwanaume kakukataa basi jichunguze mkuu.

Hatukatai maana unajua kabisa hii ni mbususu ya kujipigia (kipoozeo). Main chick akizingua kutoa mzigo basi unakuja kuchekecha huku lazima atoe hata akiwa siku za hatari ili tu kukuridhisha.

Watu kama mleta uzi huwa wanatoa sana mimba.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom