Boss wangu ananiumiza hisia zangu

Boss wangu ananiumiza hisia zangu

Nchi za Afrika (Kusini mwa jangwa la Sahara) ni Maskini kwa sababu tunaendekeza utombanaji maofisini. saa za kazi tunawaza mapenzi tu. Tofauti Na wenzetu wahindi, wachina na Wamarekani hawana maskhara kabisaa maofisini saa za kazi
Uongooo
 
Yaani members mlichokua mnanishauri kuhusu kumpenda boss wangu kumeanza kunitokea puani.

Yaani since nime have sex nae Ana act weird leo ananipenda kesho ananipotezea na haishii hapo anaongea na staff wengine wanawake kimahaba ilimradi tu niumie, na Mimi nilishamwambia kuwa nachanganyikiwa ukiwa unaongea na wanawake wengine kiasi kwamba nashindwa kufocus kwenye kazi zangu.

Anajibu Basi nitapunguza kuja kazini. Na kuna huyo muhasibu Naona anampenda boss sana, na nilimuuliza boss wangu kuhusu huyo mwanamke akasema hawezi kutembea na yule, lakini yule mwanamke anavojishobokesha kwa boss mpaka roho inataka kunitoka yaani namchukia kupita maelezo sema tu na keep calm coz pale ni kazini.

Yaani hapo kazini napaona kama kituo cha Polisi jamani, hapa nashaanza kutafuta kazi sehemu kwingine ili ni move on na ni Achane kabisa na boss wangu.
Hukujua ulichofuata huko, we kweli mi lofa
 
Pole sana, hisia ni kitu Cha ajabu sana, nakushauri tu, acha kumfatilia boss wako kaa kimya, usimuulize kitu, mpotezee, Yani atakutafuta kama kweli mlikuwa na bond! Naomba kuuliza mnamahusiano kwa muda gani sasa?

Ni six months now
 
Inasikitisha sana mkuu. Sex imekua kama handshake tu.
Nyuchi za wadada zipo available njenje mpaka zinakinaisha, wakati enzibzetu ilikua ukiona shuka la guest limeanikwa tunadindisha siku tatu.
nacheka kama mazuri kumbe ni Kweli kabisa...sasa umalaya umeesahisishwa mnoo na wasomi wengi ndo makahaba classic
 
Ishu ya Morogoro itengeneze ile ndo ina uhakika wa pesa ..
Au yule Bibi kafa!
Boss wako Nakadori Nani kamfungia ndani haonekani kabisa.
Aisee yule Bibi hajafa Shehe wangu, na Jumamosi kuna Dada anaenda kule anayejuana nae ili akaongee na Kijana anayejuana na yule Bibi wakienda kule kwa Bibi na Mimi ndio ni organize watu waende kule. Nakadori kwa kweli ni Dada yangu tu na siwezi kuwa naye kwenye mahusiano hata kwa bahati mbaya au tamaa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom