Strong and Fearless
JF-Expert Member
- Apr 24, 2017
- 890
- 2,203
- Thread starter
- #81
Ukiondoka hapo nipe connection ya kazi
Ila kazi shoga ulipata bila dyudyu?
Nilipata kwa uwezo wangu binafsi shoga
Ukiondoka hapo nipe connection ya kazi
Ila kazi shoga ulipata bila dyudyu?
Kua serious kila unapokutana nae kazini aone kama hauna mda na yeye...kila la kheri
mahusiano ya kimapenzi eneo la kazi ni mtego mbaya sana kwa ustawi wa afya ya akili ya wahusika.
pole sana kwa kiherehere chako cha kujihusisha kimapenzi na staff mwenzako, utapigwa matukio mpaka akili ikukae sawa na huna lolote utaweza kumfanya, afterall he is your boss.
na akiona una dalili za kutaka kuchafua image yake kwa wivu wako wa kijinga, atakutengenezea mazingira upigwe chini.
Basi kama ni hivyo anatakiwa tu akubali kuwa hapendwi, aanze upyaUkiona mwanaume kakukataa basi jichunguze mkuu.
Hatukatai maana unajua kabisa hii ni mbususu ya kujipigia (kipoozeo). Main chick akizingua kutoa mzigo basi unakuja kuchekecha huku lazima atoe hata akiwa siku za hatari ili tu kukuridhisha.
Watu kama mleta uzi huwa wanatoa sana mimba.
Tatizo girls mkipenda hamuambiliki hamshauriki. Kama hapo huyu manzi sign zote za kua hapendwi zinaonekana ila bado kakomaa still anaomba ushauri aishi nae vipi, ni ajabu sana.
Mtu anaekupenda na hataki kukupoteza si rahisi kurudia makosa anayojua yanakukwaza na anaweza kuyaepuka means si lazima kuyafanya.
Ni kweli,, shida yenu na nyie wanaume hamjui kukataa..asingeliwa wala asingeumia mdada wa watu
HAKUPENDI.Nimeanza kukumbuka kuna siku alisema siweI kumpenda milele inaweza kutokea siku nikamchukia mazima
Sasa sijui ndo inarelatena ulichosema hapa
Aisee, kwa hiyo sex ndio imefanya uchanganyikiwe juu ya boss wako?Yaani members mlichokua mnanishauri kuhusu kumpenda boss wangu kumeanza kunitokea puani. Yaani since nime have sex nae Ana act weird leo ananipenda kesho ananipotezea na haishii hapo anaongea na staff wengine wanawake kimahaba ilimradi tu niumie, na Mimi nilishamwambia kuwa nachanganyikiwa ukiwa unaongea na wanawake wengine kiasi kwamba nashindwa kufocus kwenye kazi zangu.
Anajibu Basi nitapunguza kuja kazini. Na kuna huyo muhasibu Naona anampenda boss sana, na nilimuuliza boss wangu kuhusu huyo mwanamke akasema hawezi kutembea na yule, lakini yule mwanamke anavojishobokesha kwa boss mpaka roho inataka kunitoka yaani namchukia kupita maelezo sema tu na keep calm coz pale ni kazini.
Yaani hapo kazini napaona kama kituo cha polisi jamani, hapa nshaanza kutafuta kazi sehemu kwingine ili ni move on na ni Achane kabisa na boss wangu.
Nilikwambia lakini kua utapoteza hiyo kazi.Sawa nimekubali hanipendi
Kinachoniuma ninkumuona kila siku and Anavo interact na staff wengine wakike. Mimi napata hard time na siwezi kukasirika yule ni my boss
Ndo maana nimeona bora niache kazi
Yaah akubali na aendelee na kazi na ampe uhuru huyo bosi wake.Basi kama ni hivyo anatakiwa tu akubali kuwa hapendwi, aanze upya
Ukiona mwanaume kakukataa basi jichunguze mkuu.
Hatukatai maana unajua kabisa hii ni mbususu ya kujipigia (kipoozeo). Main chick akizingua kutoa mzigo basi unakuja kuchekecha huku lazima atoe hata akiwa siku za hatari ili tu kukuridhisha.
Watu kama mleta uzi huwa wanatoa sana mimba.
Daah ..Acha tu kizazi cha sasa mtihani mnoooMtaka nyingi nasaba hupata mwingi msiba.
HAKUPENDI.
Na hiyo kwenda kumwambia eti akifanya abc unaumia ndo umeharibu kabisa bora ungekaa kimya tu asijue kua unaumia.
Wanawake wengi huwa mnapitoa hii hali ila mkiambiwa hiyo ni toxic relationship hamuelewi kisa mmependa.
Jamaa kuna kipindi atakua cool mno na utampenda zaidi halafu atakugonga kichizi akikuchoka ataanza drama tena, na hayo ndo yatakua maisha yenu mpaka utapojitambua.


kisa langu ni kuwa vulnerableAisee pole bestie.....lakini anza kumove on taratibu taratibu utazoea, achana nae kabisaThat’s the point he is still entertaining me
Saa zingine ananikiss ananitouch mazingira ya hapo hapo ofisini ila later on Ana act yupo serious kama sio yeye.
Aisee, kwa hiyo sex ndio imefanya uchanganyikiwe juu ya boss wako?
Ni kweli, Strong and Fearless fuata huu ushauri kipenziYaah akubali na aendelee na kazi na ampe uhuru huyo bosi wake.
Apige kazi kama kawaida.
Kwa hiyo ukaamua kumchanulia?Yaani members mlichokua mnanishauri kuhusu kumpenda boss wangu kumeanza kunitokea puani. Yaani since nime have sex nae Ana act weird leo ananipenda kesho ananipotezea na haishii hapo anaongea na staff wengine wanawake kimahaba ilimradi tu niumie, na Mimi nilishamwambia kuwa nachanganyikiwa ukiwa unaongea na wanawake wengine kiasi kwamba nashindwa kufocus kwenye kazi zangu.
Anajibu Basi nitapunguza kuja kazini. Na kuna huyo muhasibu Naona anampenda boss sana, na nilimuuliza boss wangu kuhusu huyo mwanamke akasema hawezi kutembea na yule, lakini yule mwanamke anavojishobokesha kwa boss mpaka roho inataka kunitoka yaani namchukia kupita maelezo sema tu na keep calm coz pale ni kazini.
Yaani hapo kazini napaona kama kituo cha polisi jamani, hapa nshaanza kutafuta kazi sehemu kwingine ili ni move on na ni Achane kabisa na boss wangu.
Kama yuko na mtu achana nae. Mbona mnajitesa namna hiyo.Yeye anasema yupo kwenye serious relationship ila cha kushangaza anani entertain meaning kissing, touching and having sex Ila ukiwa nae kazini sometimes anakua serious sometimes anakua loving and caring na ananionesha hapo ofisini ila staff wa kike wakimuangalia ananibadilikia
Aisee pole bestie.....lakini anza kumove on taratibu taratibu utazoea, achana nae kabisa