Boss wangu ananiumiza hisia zangu

Boss wangu ananiumiza hisia zangu

Yaani members mlichokua mnanishauri kuhusu kumpenda boss wangu kumeanza kunitokea puani. Yaani since nime have sex nae Ana act weird leo ananipenda kesho ananipotezea na haishii hapo anaongea na staff wengine wanawake kimahaba ilimradi tu niumie, na Mimi nilishamwambia kuwa nachanganyikiwa ukiwa unaongea na wanawake wengine kiasi kwamba nashindwa kufocus kwenye kazi zangu.

Anajibu Basi nitapunguza kuja kazini. Na kuna huyo muhasibu Naona anampenda boss sana, na nilimuuliza boss wangu kuhusu huyo mwanamke akasema hawezi kutembea na yule, lakini yule mwanamke anavojishobokesha kwa boss mpaka roho inataka kunitoka yaani namchukia kupita maelezo sema tu na keep calm coz pale ni kazini.

Yaani hapo kazini napaona kama kituo cha polisi jamani, hapa nshaanza kutafuta kazi sehemu kwingine ili ni move on na ni Achane kabisa na boss wangu.
Mkiambiwa Akili zenu ni kama za Kuku na ndiyo maana hata Biblia ( Maandiko ya Mungu Baba ) yametutaka tuishi nanyi kwa Akili mnaona tumewadharau na mnakasirika wakati Kiuhalisia ni kwamba mna Mapungufu makubwa mno na hamtaki Kushaurika au Kujifunza ili mbadilike Kifikra na Kitabia.
 
Yaani members mlichokua mnanishauri kuhusu kumpenda boss wangu kumeanza kunitokea puani. Yaani since nime have sex nae Ana act weird leo ananipenda kesho ananipotezea na haishii hapo anaongea na staff wengine wanawake kimahaba ilimradi tu niumie, na Mimi nilishamwambia kuwa nachanganyikiwa ukiwa unaongea na wanawake wengine kiasi kwamba nashindwa kufocus kwenye kazi zangu.

Anajibu Basi nitapunguza kuja kazini. Na kuna huyo muhasibu Naona anampenda boss sana, na nilimuuliza boss wangu kuhusu huyo mwanamke akasema hawezi kutembea na yule, lakini yule mwanamke anavojishobokesha kwa boss mpaka roho inataka kunitoka yaani namchukia kupita maelezo sema tu na keep calm coz pale ni kazini.

Yaani hapo kazini napaona kama kituo cha polisi jamani, hapa nshaanza kutafuta kazi sehemu kwingine ili ni move on na ni Achane kabisa na boss wangu.
Wewe huyo boss wako anamke? Kama ana mke basi na wewe umetenda kosa la kuwa na mahusiano na mume wa mtu. Hivyo kama alivyokutaka wewe NDIVYO atakavyo wataka na hao. Usiumie Kwa Hilo ila umia Kwa dhambi uliyotenda. Yakupasa utubu. BARAKA ZAKE MUNGU MWENYEZI ZA BABA NA MWANA NA ROHO MTAKATIFU ZIKUSHUKIE NA KUKAA NAWE DAIMA.
 
PENZI HUPONYWA NA PENZI, Sweetheart welcome to my arms so as i can make u forget him! and it seems like your from the oven coz u seem to b so HOT! Mashallah Mungu kakupa kila kitu kasoro namba yangu tu ya simu so usijali, ntakupa dm
 
Endelea na kazi tafuta mahusiano mengine jiegeshe kimtindo mahali upate kampani kwa muda flani usioneshe kama unamfia Sana boss fanya kazi kwa nafasi yako, kula vzr, lala kwa wakati & piga ibada

Maisha ni zaidi ya hayo mahusiano
 
Sikuuupata huo uzi uliomba ushauri juu ya hilo ila kama jamaa ameoa achana nae. Kama kapiga na bado anazingua achana nae. Anakula hao wengine dili na mambo yako punguza kumnyenyekea
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom