Horseshoe Arch
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 13,139
- 12,284
Mpe tu maana awamu hii hakuna namna! Ila mwambie japo aliomba kinguvu ila usifanye kwa nguvu!
DuhNini sasa kwani ?
Think big. Kuna wenzio wanakuja huku wanalalamika jamaa anakuja anakula chakula anagonga na nyuchi anasepa haachi hata senti tano, sasa huyo alokutengenezea raketi ya maisha unambaniaje sasa? Huyo ndo anafaa umtunuku sasa sio wasenge wasenge hata hawana msaada na maisha yako. Acha ukumbafu wewe. Kuwa mwerevu !
Hahahahahaha jibu la kimafia lenye sifa zote za facts. Hahahahaha !
wape wote kwani kinisha?Eh!! Sasa awape wangapi!!
Na watu huwa hawatafakari mara mbili...wanapoteza nguvu zao tu kutoa ushauri.Mtoa post hujielewi wewe....nimepitia thread zako zote inaonesha unawainjoy watu kwa kujifanya unaomba ushauri!
Stop that! Its a childish behavior!
SaaaanaaaHuyu demu ana njia panda nyingi aisee.
Tufanye maybe ni mdogo wako amekuomba ushauri huo au mtu wako wa karibu ungemshaurije??Hahahahahaha jibu la kimafia lenye sifa zote za facts. Hahahahaha !
poaUbarikiwe
Ahsante sanapole nenda kajieleze Ofcn.