Boss hataki nifunge ndoa

Mpwa nimekugongea "Thanks" . Kama huamini kakague
 
Ni vema ukae nae umuelezee kila kitu na umwambie Kama utampa dudu kwa style gani ili mambo yasonge kumbuka boss akikupenda ni feva kubwa sana sio tu kwa kimaoenzi hata kikawaida.
Hii imekaa kiume sana, ni kubalansi mzani tu😅 sema awe makini na VVU
 
Asisahau kumkaza kwanza, baada ya show ndio ampange sasa baada ya kumkojoza vilivyo
 
Mama anakuhifadhi kwa matumizi yake ya baadae.
Hahaaaaaa ........jamaa anatunzwa for future use. Bwana Nigga What mtoe out bosi wako, sehemu tulivu Sana mpige lunch tamu sana. Ikiwezekana tafuta msaada wa K-vant au value ku boost confidence yako. Kisha muangalie jichoni bila kukwepesha jicho, mpe ratiba ya mafundisho na mengineyo mpaka harusi yako Kisha muombe ruhusa ya kuwa unahudhuria.
 
Kwa mwanamke hisia za chuki mara nyingine huashiria kiu ya attention toka kwako. Anakupa mixed signals hii iliwahi kunitokea kwa lecturer wangu mmoja ingawa nilijawa na hofu sikuweza kumtongoza ila ni dhahiri zile signal ziliashiria kuwa alitamani siku moja nimfungukie kwa namna flani.

Nilikuwa nikiishi kwenye nyumba za ma staff wa chuo na mara kadhaa aliwahi kuja pale nyumbani kwetu. Hofu ilinitanda mno kuhofia scandal au reaction yake. She had a problem ya uzazi hakuwahi kupata mtoto toka aolewe.

Ni madam flani wa makamo ila ni wale wanawake wa udongo mzuri anaelekea 50’s ila ana muonekano wa binti wa 30”s.
 
Hili la mixed signal, "umeua" mkuu yaani ni haswa!

Na mwanaume usipokuwa mwangalifu mnaweza mkaingia mgogoro mkubwa usio na chanzo.
 
Mchango wake hauna umuhimu wwt kwako km hataki kutoa achana nae .
 
Huu ndo ushauri wa kufata sasa ha haaaaaaaaaa
 
Naridia tena hii ni stori ya mtu anaomba msaada kama nilivyoanza juu acheni uvivu wa kusoma thread myie great thinkers
 
Mtoe dinner muongee wewe wakiume Acha kulialia muombe mualiko
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…