Nigga What
Senior Member
- May 1, 2021
- 164
- 438
- Thread starter
- #21
Hii inaitwa kamata mwizi Men.
Naona wengi mnashindwa kusoma hii habari vizuri hebu soma sentensi ya kwanza ya hii habari
Hii inaitwa kamata mwizi Men.
JF ina vituko....
Nilidhani huyo jamaa ndio wewe....samahani bossnimeandika hapo juu jamaa anomba msaada mbona vichwa maji nyieee watu wa awamu ya sita kero tupu
Sisomagi ujinga mimi, hata kuingia kwenye hii thread takataka yako ushukuru.Naona wengi mnashindwa kusoma hii habari vizuri hebu soma sentensi ya kwanza ya hii habari
Nilidhani huyo jamaa ndio wewe....samahani boss
Kaka upo vizuri ,jamaa anatuuzia chai.Huyo ni mke wa ngapi unayemuoa?
Simuelewi Baba Mkwe wangu
Nimeshangazwa na baba mkwe wangu kuniangalia kwa ukali kila ninapo kutana nae iwe nyumbani kwangu au kwake. Nimeoa binti yake na mahali nimelipa lakini mpaka leo sijajua kwanini hunionyesha sura ya aina hiyo. Nahisi kama si ukarimu wa mama mkwe wangu ningempiga stop kuja kwangu maana hii ni...www.jamiiforums.com
Aisee kijana ajiongezeMama anakuhifadhi kwa matumizi yake ya baadae.
Jamii forum VARHuyo ni mke wa ngapi unayemuoa?
Simuelewi Baba Mkwe wangu
Nimeshangazwa na baba mkwe wangu kuniangalia kwa ukali kila ninapo kutana nae iwe nyumbani kwangu au kwake. Nimeoa binti yake na mahali nimelipa lakini mpaka leo sijajua kwanini hunionyesha sura ya aina hiyo. Nahisi kama si ukarimu wa mama mkwe wangu ningempiga stop kuja kwangu maana hii ni...www.jamiiforums.com
Ohoo ufukuziHuyo ni mke wa ngapi unayemuoa?
Simuelewi Baba Mkwe wangu
Nimeshangazwa na baba mkwe wangu kuniangalia kwa ukali kila ninapo kutana nae iwe nyumbani kwangu au kwake. Nimeoa binti yake na mahali nimelipa lakini mpaka leo sijajua kwanini hunionyesha sura ya aina hiyo. Nahisi kama si ukarimu wa mama mkwe wangu ningempiga stop kuja kwangu maana hii ni...www.jamiiforums.com
Soma tena hadi mwisho utaelewaHuyo ni mke wa ngapi unayemuoa?
Simuelewi Baba Mkwe wangu
Nimeshangazwa na baba mkwe wangu kuniangalia kwa ukali kila ninapo kutana nae iwe nyumbani kwangu au kwake. Nimeoa binti yake na mahali nimelipa lakini mpaka leo sijajua kwanini hunionyesha sura ya aina hiyo. Nahisi kama si ukarimu wa mama mkwe wangu ningempiga stop kuja kwangu maana hii ni...www.jamiiforums.com
Huyo ni mke wa ngapi unayemuoa?
Simuelewi Baba Mkwe wangu
Nimeshangazwa na baba mkwe wangu kuniangalia kwa ukali kila ninapo kutana nae iwe nyumbani kwangu au kwake. Nimeoa binti yake na mahali nimelipa lakini mpaka leo sijajua kwanini hunionyesha sura ya aina hiyo. Nahisi kama si ukarimu wa mama mkwe wangu ningempiga stop kuja kwangu maana hii ni...www.jamiiforums.com