Bora kumwacha mtu kuliko kumuumiza

Bora kumwacha mtu kuliko kumuumiza

Nalendwa

JF-Expert Member
Joined
Aug 9, 2016
Posts
7,466
Reaction score
13,031
husband2.png



Mume kamfumania mkewe club akila bata na Ex wake ambae amerudi kutoka majuu. Mke alienda kula bata na Ex wake club huku nyumbani kaacha kichanga cha miezi nane. Mume akatonywa kuhusu mtoko, akamfata mke club na kapiga kiasi hiki mpaka mdada haeleweki sura.

Sawa mdada alikosea, lakini kwanini asingemwacha tu badala ya kumuumiza hivi? And what if angemtanguliza mbele za haki, kuwa na murder case na mtoto kukosa wazazi wote wawili?

Bora kumwacha mtu kuliko kumuumiza.
 
yaani kweli umwache mwanangu wa miezi nane ndani halafu nikuache tu na kaex kako eti mnakula bata?? Nakucharaza zaidi ya huyo

Nakulegeza unarojeka kama tunda kwenye blender ya kukuacha yatafanyika baadae.
 
Unashangaa ilo????.

Komando X mwenye nyota mbili ,, katoka out na mke wake na rafiki wake ( bwana harusi mdogo )

Heee jamaaa kaenda choon ,, kurudi anakuta Dem na Rafiki wanakulana madenda ....kudadeki ,,, Jamaaa komando alimvunja vunja jamaa ,,wanapeleka hospital ,, Dr anaulizwa Huyu MTU kagongwa nagari yaaina gani ???.

Popote ulipo Komando weee ninomaaa ulitishaaa .
 
MTU mzm anapopatwa najambo Kichwa hupagawa ..... Otherwise naweza sema unasapoti demu alichokifanya indirectly !!!.

Nmekutolea maali ,, nakutunza kama mtoto ,, ALAFU UNAKUJA KUMWACHA MTOTO WANGU WAMIEZI NANE ?????? .

daaahhhhhh ,,huyo jamaa nampa BIG UP SANAAAAAA !! NA KAMA AMEMFUKUZIA MBALI ,INASOUND VZURI PIA.
 
Unashangaa ilo????.

Komando X mwenye nyota mbili ,, katoka out na mke wake na rafiki wake ( bwana harusi mdogo )

Heee jamaaa kaenda choon ,, kurudi anakuta Dem na Rafiki wanakulana madenda ....kudadeki ,,, Jamaaa komando alimvunja vunja jamaa ,,wanapeleka hospital ,, Dr anaulizwa Huyu MTU kagongwa nagari yaaina gani ???.

Popote ulipo Komando weee ninomaaa ulitishaaa .
hii hatari Sana.
 
husband2.png



Mume kamfumania mkewe club akila bata na Ex wake ambae amerudi kutoka majuu.
Mke alienda kula bata na Ex wake club huku nyumbani kaacha kichanga cha miezi nane.
Mume akatonywa kuhusu mtoko, akamfata mke club na kapiga kiasi hiki mpaka mdada haeleweki sura.

Sawa mdada alikosea, lakini kwa nini asingemwacha tu badala ya kumuumiza hivi?
And what if angemtanguliza mbele za haki, kuwa na murder case na mtoto kukosa wazazi wote wawili?

Bora Kumwacha Mtu Kuliko Kumuumiza..
mmmhh kweli huyo mwanamke hajitambui,, mimi ningemuuwa taratibu bila ku2mia nguvu. ,,
 
hii hatari Sana.
Weee acha mkuuu ......Ski yanani komando kumbe Yale mafunzo ya kukunja nondo huwa wanalengewa watu.

Jamaa alikua anakunja mkono km anakunja waya ya aluminiamu ,miguuu anakunja yaan utazan hamna mfupa ..daahhhhh Usijicjanganye kutembea namadem Wa hawa watu ,usipokufa unapewa ulemav wamaisha.
 
Weee acha mkuuu ......Ski yanani komando kumbe Yale mafunzo ya kukunja nondo huwa wanalengewa watu.

Jamaa alikua anakunja mkono km anakunja waya ya aluminiamu ,miguuu anakunja yaan utazan hamna mfupa ..daahhhhh Usijicjanganye kutembea namadem Wa hawa watu ,usipokufa unapewa ulemav wamaisha.
Kama naona alivyokuwa anakunjwa dah
 
yaani kweli umwache mwanangu wa miezi nane ndani halafu nikuache tu na kaex kako eti mnakula bata?? Nakucharaza zaidi ya huyo

Nakulegeza kama kama tunda kwenye blender ya kukuacha yatafanyika baadae.
Hivi broh na Wewe unashusha mijeledi kwa wanawake tutakuachia laana ujue
 
Back
Top Bottom