Bora kufa kuliko kuishi ukiwa masikini

Bora kufa kuliko kuishi ukiwa masikini

Umasikini ni laana, hakuna cha hali ya muda wala hali ya kudumu. Hakuna masikini anaaminiwa na ndio maana hata hekima ya maskini yaonekana kama upumbavu hata kama una sound good
Hali ya kifedha haifuti thamani ya akili, lakini inaathiri jinsi wengine wanavyokiona.
 
Haimaanishi sawaa, lakini kuna watu wanayaishi haya maisha moaka wakeshazoea na hana cha kupoteza ameshapata ganzi ya moyo lolote na liwe!

Kwahiyo mpaka uje uwe the living testimony cha moto unakuwa umekipata!
Ni kweli kabisa. Kuna watu wanaishi maisha haya mpaka wanazoea, moyo unapata ganzi, huna cha kupoteza wala cha kuogopa. Lolote liwe. Lakini hapo ndipo hatari ilipo. Si kila anayevumilia moto anakuwa ushuhuda; wengine wanachomwa taratibu bila kelele. Kuwa living testimony si lazima upitie kila kiwango cha maumivu, bali utoke kabla moto haujafanya hasara ya kudumu kwa akili na mwelekeo. Uzoefu una nguvu, lakini si kila mateso yana hekima.
 
Ukikosa upande huo?
Siwezi kosa hata Kwa njia legally. Binafsi nakutana na mitego mingi sana ya kuniingiza kwenye illegal activities kutokana na kazi ninazofanya ila huwa hawaamini nakataaga mkavu na baada ya hapo huwa navunja mawasiliano au urafiki kama ulikuwepo. Nahitaji mali iliyo safi nikiwa na amani na utulivu sio mashaka mashaka.
 
Ni kweli kabisa. Kuna watu wanaishi maisha haya mpaka wanazoea, moyo unapata ganzi, huna cha kupoteza wala cha kuogopa. Lolote liwe. Lakini hapo ndipo hatari ilipo. Si kila anayevumilia moto anakuwa ushuhuda; wengine wanachomwa taratibu bila kelele. Kuwa living testimony si lazima upitie kila kiwango cha maumivu, bali utoke kabla moto haujafanya hasara ya kudumu kwa akili na mwelekeo. Uzoefu una nguvu, lakini si kila mateso yana hekima.
Dahh!! Umasikini sio.. nikiona wale wazee walio kwenye upangaji ndio nachoka kabisa!
 
Wakuu niajee,

Umasikini hauvumiliki, umasikini ni mateso, umasikini ni adhabu mbaya na ngumu kwenye huu ulimwengu.

Kuna raia hawana malazi,chakula,mavazi... nk. Kuna raia wanaishi kwenye mazingira magumu sana.


Ukipata nafasi ya kumsaidia masikini yoyote yule kwa chochote fanya hivyo naamini utabarikiwa sana,

Ukiwa masikini kwenye hii dunia utateseka sana, the world is not fair.

mawazo ya kilofa sana hayo gentleman dah,

eti Bora kufa kuliko kuliko kuishi ukiwa masikini​


akina dudukwee na chaaba wanaishi kwa furaha na amani tele porini na hawana hata kumi mfukoni halafu wewe unajivika dhana ya hovyo hivyo akilini? kweli?

kua tajiri au maskini Tanzania ni uamuzi binafsi wa mtu, hayupo wa kumsingizia hali hiyo.

infact,
uoga wako ndio umaskini wako.
Tenda wema uende zako:HAhaa:
 
Siwezi kosa hata Kwa njia legally. Binafsi nakutana na mitego mingi sana ya kuniingiza kwenye illegal activities kutokana na kazi ninazofanya ila huwa hawaamini nakataaga mkavu na baada ya hapo huwa navunja mawasiliano au urafiki kama ulikuwepo. Nahitaji mali iliyo safi nikiwa na amani na utulivu sio mashaka mashaka.
Hebu nipe mimi hiyo michongo nikuletee testimony 🤭
 
mawazo ya kilofa sana hayo gentleman dah,

eti Bora kufa kuliko kuliko kuishi ukiwa masikini​


akina dudukwee na chaaba wanaishi kwa furaha na amani tele na hawana hata kumi mfukoni halafu wewe unajivika dhana ya hovyo hivyo akilini? kweli?

kua tajiri au maskini Tanznia ni uamuzi binafsi wa mtu, hayupo wa kumsingizia hali hiyo.

infact,
uoga wako ndio umaskini wako.
Tenda wema uende zako:HAhaa:
Mental case
 
Back
Top Bottom