Bora kufa kuliko kuishi ukiwa masikini

Bora kufa kuliko kuishi ukiwa masikini

Nini maana ya maisha kama huna chakula,malazi,mavazi,..nk

Nimetoka kumwambia mtu kitu hiki,akanibishia sana muda si mrefu.
Umasikini unauma,unaumiza,unadhalilisha na kufedhehesha sn.
Ndiyo, umasikini unaumiza. Lakini kuacha kuishi kwa sababu ya maumivu ni kumpa umasikini ushindi wa mwisho.
 
Umaskini ni laana
Umaskini si laana, ni hali ya muda tu. Kuwa masikini hakumaanishi kuwa maisha yako hayana maana au thamani. Hali hiyo inaweza kuumiza, kudhalilisha, au kufanya maisha yawe magumu, lakini bado uhai ni nafasi ya kubadilisha, kujifunza, na kupambana. Kila mtu ana nafasi ya kuleta mabadiliko – kwa juhudi, busara, na subira. Laana halina nguvu zaidi ya ile unayoikubali; maisha hayapimwi kwa mali, bali kwa uwezo wa kusimama hata baada ya kushuka.
 
Wakuu niajee,

Umasikini hauvumiliki, umasikini ni mateso, umasikini ni adhabu mbaya na ngumu kwenye huu ulimwengu.

Kuna raia hawana malazi,chakula,mavazi... nk. Kuna raia wanaishi kwenye mazingira magumu sana.


Ukipata nafasi ya kumsaidia masikini yoyote yule kwa chochote fanya hivyo naamini utabarikiwa sana,

Ukiwa masikini kwenye hii dunia utateseka sana, the world is not fair.

Natamani kuandika ila AKILI IPO FASTA KULIKO VIDOLE
 
Umaskini si laana, ni hali ya muda tu. Kuwa masikini hakumaanishi kuwa maisha yako hayana maana au thamani. Hali hiyo inaweza kuumiza, kudhalilisha, au kufanya maisha yawe magumu, lakini bado uhai ni nafasi ya kubadilisha, kujifunza, na kupambana. Kila mtu ana nafasi ya kuleta mabadiliko – kwa juhudi, busara, na subira. Laana halina nguvu zaidi ya ile unayoikubali; maisha hayapimwi kwa mali, bali kwa uwezo wa kusimama hata baada ya kushuka.
we usikie tu umasikini
 
Back
Top Bottom