Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,029
- 144,384
- Thread starter
- #61
Ndio mjue watu wamechoka, sasa hawaogopi lolote.Kigaila anapata wapi ubavu huo wa kutishia nec na sirikali
Ndio mjue watu wamechoka, sasa hawaogopi lolote.Kigaila anapata wapi ubavu huo wa kutishia nec na sirikali
Tunduma na ukara ni mkojo uleee??? Subirini mwaka huu mtajua hamjui nyie nzi wa kijaniMmesha ambiwa dam ni mbali jatibun hata kwa mkojo muone
Kwani mtafunga wote???! Subirini muone mwaka huuWaulize ndugu zako wa tunduma now wako wapi Maskin watoto zao jela kubaya
Taasisi aina ya saccos iliyowekwa mfukoni na mbowe.
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Kwa akili yako unadhani kufunga watu jela ndo kuzuia mapinduzi na hasira za wananchi??? Utakuwa mtoto wa la sana wewe!!! Hujui historia ya dunia wewe kilaza embu kalale huko!!!Tuone Nini mnavyo enda jela????
Kwa akili yako unadhani ndo mmemaliza hasira za wananchi juu ya CCM??? Bado sana!!! Kuna wengine maelfu wako tayari kufanya zaidi ya waliofanya hao na a day by day wanazidi kuongezeka kutokana na udhalimu wenu wa wazi nyie CCMWalio fanya umesha Pata habar zao huwez kuwaangalia Mara mbil
.Hakuna haja ya uchaguzi. They (CHADEMA na ACT) should organize a revolution. Now is the time. Kuna vuguvugu katika akili za watu. Magufuli is a devil. He hates democracy. Hakuna haja ya uchaguzi kabisa.
Lusiindo ombehiHakuna haja ya uchaguzi. They (CHADEMA na ACT) should organize a revolution. Now is the time. Kuna vuguvugu katika akili za watu. Magufuli is a devil. He hates democracy. Hakuna haja ya uchaguzi kabisa.
Wewe ni mataq* fanya haraka ukaoshe kikojoleo mumeo anakusubiri.
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Amini nakuambia. Hawa jamaa ni full maigizoTeam hiyo itafanya nini kuunda tume mpya ?!
Sijawahi kusikua steam inatengua matokeo ya tume.
Mara zote nimesikia maamuzi ya tume ni final na asiyekubali anashauriwa kwenda mahakamani.
Walipaswa wawe waliusha rekebisha matatizo yote kabla ya matokeo, badala ya kuunda team baada ya matokeo.
Kweli mkuu uzinduzi wa kampeni uahirishwe. Waweke sawa kwanza kwenye hizi njama za kitoto.Ushauru wangu ni bora kupambana kwanza juu ya hili kabla hamjaendelea na huo uzinduzi kwani hai-make sense kufanya uzinduzi huku wagombea ubunge zaidi ya 50(kwa maelezo ya Kigaila) kwa tiketi ya CHADEMA wakiwa katika hatihati ya kukosa nafasi ya kuwa wagombea huku idadi ya wagombea udiwani nchi nzima ikiwa ni kubwa zaidi.
Chadema hasa viongozi wake wakuu ukimtoa Lisu, wamelala usingizi mzito. Mbowe ndio hata sijui yupo wapi na anafanya nn? Sijui anachukuliaje haya yanayotokea. Inaonekana ni kama amemsusia Lisu kila kitu. Mwenyekiti anazingua kweli
Kwa iyo unafikiri wananchi wanapenda udhalimu wenu wa kuwakmata wagombea kipindi cha uchaguzi na kuwabambikia makesi???? We jamaa ni mpuuzi uliyetukuka kwa kweli????Wananch au chadema mana katika watu walio fanya vurugu wote wamesha kamatwa bado wawili tu
So magenge yenu yanasakwa
Kwasababu kuongea ni haki yake ya kikatibaKigaila anapata wapi ubavu huo wa kutishia nec na sirikali