Uchaguzi 2020 Bora CHADEMA mngesitisha uzinduzi wa kampeni kufuatilia hujuma za wagombea wenu kuenguliwa

Halafu tukishawekewa vikwazo nyinyi ufipa wote mtahamia Amsterdam au ili muepuke maisha magumu


Ufipa mnachekesha kweli
Tukirudi katika neutral point, hata wapumbavu wa CCM wanaweza kuona 'hujuma' inayoendelea.Kwa kifupi tu, vikwazo vitaihusu government, safari hii kichomi ni kikali sana.
Tundu Lissu kaamua pia kufata gari, polisi wanaruka ruka tu, yote haya yanakuwa profiled na kutumwa hukoo kwa "wasaidizi wa kupatikana kwa haki". Tayari ripoti ya vifo imeshakwenda huko death toll inasoma 3.
 
Wataachaje kampeni wakt wameshachukua ela za mabeberu kwa kuwadanganya kuwa wanakubalika na watashinda uchaguzi?

Inashangaza sana chama ambacho kinajinasibu kuwa kitashinda uchaguzi sasa unajiuliza inamaana chadema na usomi wao wanashindwa kujua huwezi kuunda serikali usipokuwa na wabunge wa kutosha au nia yao ni kupata Urais tu? Lissu ameshawadanganya mabeberu kuwa watashinda na ukweli Chadema wanajua kabisa hawana ubavu wa kushinda uchaguzi ndo maana kutwa Lissu anafanya visa ili tu mabeberu waone anaonewa kuwekewe vikwazo kwa taarifa yake tutawangalia tu wala hatumgusi ataguswa na box la kura pale atakapopata chini ya 5%

Chadema wamewekeza nguvu nying kwa nafasi ya Urais wameshindwa kujua wanatakiwa kuwa na wabunge wengi ambapo hata wasipopata urais wanaweza kubadili mambo mengi kikatiba kupitia wabunge wao


Unaongelea kinyeo ?!
 
Hakuna kususia mtu hapa wasikowarudishwa ni kutangaza fujo na kampeni zinaendea kama kawaida. Upinzani ni lazima uelewe serikali inaweza kuiba lakini kikubwa sio idadi ya wabunge bali kuwa na support ya watanzania wengi. CCM wanakosea hapo wabunge wanaweza kupungua sana lakini haina maana upinzania umepungua maana uchaguzi usipokuwa halali hata mbuzi anaweza kushinda. Kiashiria kikubwa ni kwamba upinzani haujapungua bali umeongezeka. Viongozi wanaondoka tu lakini kikubwa ni kuwa na watu na upinzani hasa Chadma na ACT wanahitaji sifa
 
Hii mijamaa mijinga yaani, kwa hiyo hivo vikwazo unavyosema nyinyi haviwahusu sio. Na je hao wamerakani death toll iko ngapi?
Tukirudi katika neutral point, hata wapumbavu wa CCM wanaweza kuona 'hujuma' inayoendelea.Kwa kifupi tu, vikwazo vitaihusu government, safari hii kichomi ni kikali sana.
Tundu Lissu kaamua pia kufata gari, polisi wanaruka ruka tu, yote haya yanakuwa profiled na kutumwa hukoo kwa "wasaidizi wa kupatikana kwa haki". Tayari ripoti ya vifo imeshakwenda huko death toll inasoma 3.
 
Wagombea wa upinzani wameenguliwa kihuni kwa faida ya ccm na wanaccm wanashangalia kweli kweli na hakuna kiongozi mstaafu hata mmoja aliyekemea uhuni huu, naanza kuchochea chuki dhidi ya ccm, watz wapenda haki popote mlipo ktk zote hadi ya familia usisaidie mwanaccm yeyote akipata tatizo na hata ukipata gepu la kumwekea sumu afe Fanya hivyo
Jinyonge kabisa
 
Kwa kipi sasa,
Tulieni tu itafika muda nyinyi ndo mtaomba maridhiano ya kitaifa kwa sasa lazima tulie wote
Kiranja ni sanduku la kura. Eti wanataka serikali mseto kirejareja. Tafuteni kura kama mtaweza. Hapo mnalia iyena haijaanza. Mbn mtatoroka site safari hii.
 
Kwa kipi sasa,

Kiranja ni sanduku la kura. Eti wanataka serikali mseto kirejareja. Tafuteni kura kama mtaweza. Hapo mnalia iyena haijaanza. Mbn mtatoroka site safari hii.
Wagombea wanaenguliwa kihuni halafu unaleta porojo za samduku la kura hizo kura tunapiga kwenye sanduku la bibi yako?
 
Ukweli wa mambo ni kwamba tukiendelea na uchaguzi wa hivi, tutauwana bure hakuna hakutakuwa na faida yoyote. Lijamaa limejiweka wala hajali kama damu ya mtu itamwagika au kama kuna hatari ya askari kumuuwa ndugu yake. Anachojali ni yeye na genge lake libaki madarakani!
 
Wagombea wanaenguliwa kihuni halafu unaleta porojo za samduku la kura hizo kura tunapiga kwenye sanduku la bibi yako?
Hao viongozi wako wanakonfuse kichwa ili ulipuke usiwaamini sana. Akili ya kuambiwa changanya na yako
 
Kuondelewa kwa hila kivipi lini umesikia Chadema wana semina hata ya kuwafundisha wagombea wao kujaza form za uchaguzi au kuwaeleza wanatakiwa wafanye nini kuepuka mitego ya NEC ? Walishindwa nini kufanya hvyo ela za ruzuku zinafanya nn kwanini zisitumike kufanya hvyo? Acheni mambo yenu mmekosea kujaza maform then mnataka kuwapa lawama wengine .


Ata Kama wewe Ni CCM acha kujitoa ufahamu Yani upinzani tuu ndo wanakosea kujaza form?? Ata mtoto wangu wa miaka Minne kakuzidi akili.
 
Lissu hawezi kuwa nchi nzima. Huu ni ufedhuli ambao viongozi wanatakiwa waongoze wananchi kuupinga hata kwa kumwaga damu. It cannot get worse than this. Lissu hana uwezo wa Kimungu kwamba takuwa Sumbawanga, Mpwapwa, Mtama, Bunda kwa wakati mmoja. Kabla ya kulaumu, fikiri kwanza. Haya si mazingira ya kawaida. Nchi inahitaji mapinduzi. Demokrasia imeshindikana.

Wayafahamu mapinduzi?
 
Chadema hasa viongozi wake wakuu ukimtoa Lisu, wamelala usingizi mzito. Mbowe ndio hata sijui yupo wapi na anafanya nn? Sijui anachukuliaje haya yanayotokea. Inaonekana ni kama amemsusia Lisu kila kitu. Mwenyekiti anazingua kweli

Mbowe hana shida.
 
Kuondelewa kwa hila kivipi lini umesikia Chadema wana semina hata ya kuwafundisha wagombea wao kujaza form za uchaguzi au kuwaeleza wanatakiwa wafanye nini kuepuka mitego ya NEC ? Walishindwa nini kufanya hvyo ela za ruzuku zinafanya nn kwanini zisitumike kufanya hvyo? Acheni mambo yenu mmekosea kujaza maform then mnataka kuwapa lawama wengine .
Ushauri mzuri..ila hawa watu huwapi ushauri...

Siku zote ukiona mtu asiyeshaurika au kosoleka mwongope saana.

Jiulize hivi chama cha namna hiyo siku kikipewa nchi yenye jeshi na kila kitu....itatawalika kweli.

Kabla ya uchaguzi toeni elimu kwa wagombea wenu wote hasa wa Udiwani kata hadi kata kijiji hadi kijijii. Hawa ndiyo wapo karibu nawapiga kura. Wakiongea na wapiga wanawasikiliza.

Sio Mwisho ukishindwa... muanze kulialia nimeibiwa kura.
 
Mimi najua mheshimiwa Lissu atatoa tamko kesho kwenye mkutano na huo ndio utakuwa mwelekeo wa uchaguzi wa mwaka huu. Stay tuned!!
Mkutano wa uzinduzi wa kampeni, yaani ndio ndege inapaa hiyo, Devotha Minja yupo studio anapiga picha za kubandika kwenye fomu yake ya kugombea ubunge 2025!
 
Kwa kipi sasa,

Kiranja ni sanduku la kura. Eti wanataka serikali mseto kirejareja. Tafuteni kura kama mtaweza. Hapo mnalia iyena haijaanza. Mbn mtatoroka site safari hii.
Kuna watu mnashangaza sana
Sasa watu wanalalamika kuenguliwa kugombea afu ww unasema watafute kura kwenue sanduku?

Sasa sanduku lipi wakati wagombea watafika 60 ambao hawatokua kwenye ballot papers?

Kuna watu cjui mna reason vipi. Unaongea vitu visivyo na correlation kabisa. Sasa kura wakizipata zitasaidia nni kma hamna wagombea!!

Jf cjui imekuaje cku hzi
 
Back
Top Bottom