Uchaguzi 2020 Bora CHADEMA mngesitisha uzinduzi wa kampeni kufuatilia hujuma za wagombea wenu kuenguliwa

Inabidi afanye kampeni na kuwaelewesha wafuasi wa CDM kwanza, kuhusu Tume. Baada ya wafuasi kuwaelewa ndio sasa mtaiambia tume tunataka wagombea wetu warudishwe. Hapo wafuasi watakuwa wameshawaelewa ata mkiwaambia tunaandamana kuelekea tume wataenda. Ngoja tumsikie leo ataongea nini juu wagombea waliokatwa
ccm wakibanwa mbavu wanaweza kuwarudisha wangombea wa upinzani baada ya kupiga kura utanimbia tume haitamtangaza wpinzani naona wapinzania wawe na hoja moja tu yakutokua na imani na tume mchakoto mzima ufutwe iundwe tume mpya watu wajiandikishe upya lasivyo nikupoteza muda
 
Bro wangu Mimi ni Katibu wa Jimbo Chadema huku ninakokaa

Wakati wa kurudisha fomu, Mgombea urais mh Tundu Lisu alisema, Wagombea wasindikizwe kupeleka fomu zao

Sasa kilichofanyika huku, ni walisindikizwa madiwani wote waliokuwa wameomba kugombea Kwa upande wa Chadema, alichoniambia Bro kuwa, waliondoka vizuri wakiwa kundi la watu wengi kurudisha fomu wakiwepo na wagombea Wao wote

Lakini Hadi wanafika ofisi ndogo za tume W. Wagombea Udiwani wawili hawakuwaona, walikuja fika saa 10 jioni, sasa sijui walikwenda wapi, muulizeni Bro na kivipi waliwatoroka muulizeni Bro

Bro Anasema, hata hivyo swala Hilo walilipekeka Takukuru

Kwa hiyo, ni kweli wagombea wengi Chadema huenda njaa zimesumbua wakauza haki zao,
Upumbavu huu wa mtu akidhani watu bado wajinga hvyo atawaaminisha kuwa ni wajinga na anadhani watakbali ujinga wake ..hyu mtu atakua ni mjinga kwa kiwango cha juu sana!!kwamba wewe ni katibu wa CDM ulie mjinga siamini??wewe sio Katibu wa CDM!!

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
 
Upumbavu huu wa mtu akidhani watu bado wajinga hvyo atawaaminisha kuwa ni wajinga na anadhani watakbali ujinga wake ..hyu mtu atakua ni mjinga kwa kiwango cha juu sana!!kwamba wewe ni katibu wa CDM ulie mjinga siamini??wewe sio Katibu wa CDM!!

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
Akili ni nywele na kila mtu anazake, Wahenga hawakudanganya
 
View attachment 1550294

Baada ya kumsikiliza Naibu Katibu Mkuu wa CHADEMA Bara,kamanda Bensoni Kigaila, nimepoteza hata hamu ya kufuatilia uzinduzi wa kampeni kwani kwa idadi ya wagombea wa ubunge wa CHADEMA walioenguliwa mpaka sasa, naweza kusema inatisha huku msemaji mwenyewe akiweka wazi kuwa idadi ya wanaogombea udiwani ndio kubwa zaidi na angesema aiongelee, basi angetumia muda mrefu sana.

Mazingira haya kwangu mimi yananiondolea kabisa hata ile hamu ya kufuatilia huo uzinduzi kwani naona hawa mabwana kwa sasa ni kama wanatuchora tu.

Ushauri wangu ni bora kupambana kwanza juu ya hili kabla hamjaendelea na huo uzinduzi kwani hai-make sense kufanya uzinduzi huku wagombea ubunge zaidi ya 50(kwa maelezo ya Kigaila) kwa tiketi ya CHADEMA wakiwa katika hatihati ya kukosa nafasi ya kuwa wagombea huku idadi ya wagombea udiwani nchi nzima ikiwa ni kubwa zaidi.

Ni bora uongozi wa CHADEMA Taifa mkalipa uzito jambo hili vinginevyo mtavunja moyo wenzenu ambao wako katika hatihati ya kukosa haki yao ya kikatiba ya kuchagua na kuchaguliwa.

Napata wasiwasi kuwa huenda hata huo uzinduzi nao ukahujumiwa kama wagombea wetu walivyohujumiwa.

Hata hivyo, naungana na Bensoni Kigaila kwa aliyoyasema na kwakweli ametoa onyo kali kuhusu hujuma hizi na ninaona kuna giza nene huko mbeleni iwapo busara itakosekana hasa kwa wenye mamlaka.

Tuombe Mungu kwani "tone" ya Kigaila haikuwa ya mchezo na ni wazi wamedhamiria kudai/kutafuta haki kwa gharama yoyote.
Hahahaha.

Hukuanzi leo nategemea kuona post kumi tu hadi uchaguzi uishe. Maana CDM ya mwaka huu inakuangusha Sana.
 
Hahahaha.

Hukuanzi leo nategemea kuona post kumi tu . Maana CDM ya mwaka huu inakuangusha Sana.
Hii ndio CCM yenye mafanikio!

1598678017438.png
 
Acha ujinga wewee... mwaka flan jiwe alienda kuzindua kinyerez... madogo kibao walikusanywa wakaahidiwa elfu5 kazi yao iwe kushangilia tu..... lakini mwisho wakazulumiwa... hapo ndo kina sisi tukagundua kuwa hii michezo huwa ni kweli
 
Back
Top Bottom