goroko77
JF-Expert Member
- Jul 9, 2019
- 8,855
- 12,990
Chadema na nyinyi Ni wahuni tu mnawatumiaje watoto wa watu miaka yote hyo kuitukana ccm leo mnakuja kuwafukuza Kama mbwa hpn haikubalili wao kinamdee waendelee kuwepo bungeni kwa garama za chadema kuwa tumia vibaya katk siasa zao Leo hi wanaonekana Kama nyanya mbichi hpn haikubalili hata kidogo
Mdee kanyaga twende
Mdee kanyaga twende