Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa amri ya mahakama ingewezekana haraka tu if the courts were genuine..John Mrema, msemaji wa Chadema, amedai wameiomba Tume ya Uchaguzi nakala ya fomu za uteuzi za Halima, ili waweze kumtambua aliyegushi, lakini Tume haijawapa ushirikiano.
Stupid of youSasa anaandika alaf anacheka , tatizo la hiki chama linaanzia hapa , unarelease information sensitive kama hii alaf kimzaha tena without any vivid evidence.... Wenzao CCM wapo serious Kias cha kutoana roho , nyie kucheka Cheka tuu
Huyu msimiamini Kati, huyu Ni Magufuli wa kike! Naona Lema amemtabiria, ngoja tuoneMama atafeli sana kwasababu anakubali kuburuzwa.
Tunahitaji another wing of chama! Wingi hii imekwama.Haya yote ni matokeo ya NCHI kuwekeza mapesa Mengi kwenye SIASA badala kuwekeza kwenye miradi ya uzalishaji!!!kama siasa ingekuwa na pesa kiduchu tu sarakasi za kijinga kama hizi zisingekuwepo!!!
Kimekaa na sura ya kishetaniMaamuzi ya chama yanatakiwa yaheshimiwe.
1. Wasiingie bungeni mpaka kesi yao washinde.
2. CDM hawataruhusiwa kupeleka wengine bungeni hadi hukumu itolewe.
Tulia, acha kudhalilisha taaluma.
Au hauna watoto watakaokuja kuso maamuzi yako wakuone ndezi?
Think twice
Which way out then, Ni sauti gani Samia atazisikia maana hizi za maneno hazitasikika kamweHawa watu hakuna sababu ya kukutana nao ikulu, ni kudanganyana na kupotezeana muda tu, wanajua fika ndani ya nafsi zao hawako tayari kwa maridhiano.
Watu wapo katikati ya meza ya mazungumzo halafu bado wanaviziana mahakamani!! huu ni upuuzi wa kiwango cha juu sana, Chadema na Mbowe msiende ikulu.
Tatizo kubwa ni UCHAGUZI MKUU uliopita jinsi ulivyoendeshwa...hapa ili mambo yakae sawa ule uchaguzi urudiwe kitengo cha Wabunge nchi nzima then wapatikane wabunge halali,baada ya kumalizika spika na naibu wake wachaguliwe hapo ndipo tutakwenda sawa.Wabunge wa mchongo
Hao wote ni ccm, watu hawadanganyiki...kwa kweli twende na ACT na Umoja party.
Mbowe ampigie simu amueleze kwa machunhu tukio Hilo, ataona response byake then from there a decide kuambatana na Samia au kuachana nayeExactly, hata kitendo cha Mbowe kwenda mwenyewe ikulu hakina afya yoyote kwa chama.
Unajiuliza hawa wabunge 19 wanawakilisha chama gani bungeni?Hii ni Kesi nyingine itakayovutia umma mpana wa Tanzania
CCM na Bunge tumkatae Halima Mdee Mahakamani, Kesi ya Mbowe ya ugaidi ilituacha utupu na ilitufunza
Yawezekana kuwafukuza Halima Mdee na wenzake ni mpango wa Chadema kutaka kuidhalilisha Serikali, Bunge, Tume ya Taifa ya uchaguzi na baadhi ya mamlaka mahakamani Lengo la Chadema watatuingiza kichwa kichwa kama kesi ya Mbowe kwenye suala la Halima Mdee na wenzake, Tayari tulishajifunza kwenye...www.jamiiforums.com
TOKA MAKTABA :
16 May 2022
Dodoma, Tanzania
Spika anadai kuwa anajiweka katikati mpaka haki ipatikane mahakamani.
UmeongeaHaya yote ni matokeo ya NCHI kuwekeza mapesa Mengi kwenye SIASA badala kuwekeza kwenye miradi ya uzalishaji!!!kama siasa ingekuwa na pesa kiduchu tu sarakasi za kijinga kama hizi zisingekuwepo!!!
Hili linaweza kutekelezeka tu 2025..Tatizo kubwa ni UCHAGUZI MKUU uliopita jinsi ulivyoendeshwa...hapa ili mambo yakae sawa ule uchaguzi urudiwe kitengo cha Wabunge nchi nzima then wapatikane wabunge halali,baada ya kumalizika spika na naibu wake wachaguliwe hapo ndipo tutakwenda sawa.
Mbona ipo wazi..Unajiuliza hawa wabunge 19 wanawakilisha chama gani bungeni?
Hivi ile project yake ya kuuza mayai iliishia wapi?maana kuna kipindi mpaka likawa linawalaumu chadema wenzie kuwa wamesusa kuliungisha.halafu eti nalo ni lijumbe la kamati kuu ya chademahili bongenyanya sijui linaongeaga nini.chadema kwa wapuuzi hawa mlionao nyie mgombee ruzuku tu,
chama hiko kina watu hawako serious.
upumbavu mwingi sana kupoteza muda tu.
Sasa anaandika alaf anacheka , tatizo la hiki chama linaanzia hapa , unarelease information sensitive kama hii alaf kimzaha tena without any vivid evidence.... Wenzao CCM wapo serious Kias cha kutoana roho , nyie kucheka Cheka tuu
Ila changamoto ni moja, Ni jinsi gani ujumbe utamfikia Mheshimiwa na wewe mtoa ujumbe ukabakia salama.Mama atafeli sana kwasababu anakubali kuburuzwa.