Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 59,041
- 103,470
Naamini Mbowe hatarudi ikulu, huu ni ujinga wa wazi uliopitiliza.
Kabisa. Nilipoona ameagizwa eti awaonye wenzake wasiipe ukweli serikali huku mitandaoni, na yeye akaja kuwaonya watu kweli, ndio nikajua mzee kashachoka na anatumiwa tu. Hao ccm hakuna majadiliano ya kinafiki wala nini.