Nasoro Namuchi
Member
- Nov 23, 2018
- 58
- 47
DuuuuhForeverMore,
Mwenye Degree 4 si ndio alisema ndoa kufungwa lazima uwe na cheti cha kuzaliwa.
DuuuuhForeverMore,
Mwenye Degree 4 si ndio alisema ndoa kufungwa lazima uwe na cheti cha kuzaliwa.
Baadhi ya KIWADU ndo hawa kutwa kupost picha safarini mgombani na kuonyesha nyama choma mtandaoni. Inferiority!Wabongo wanataka mwenye PhD awe na mawazo kama yake wa darasa la saba.
Yaani wanataka wafanane mawazo, bila hivyo mara ni msaliti, mara PhD fake au elimu haija msaidia.
Mtu unalazimisha wa PhD awe na mtazamo kama wako wa darasa la 7.
PhD holder akichumia tumbo kuna shida gani? Mnataka mje kumcheka baadae?
Hakuna anaechukiwa Bali lazima ulinganishe kuwa PHD na Yale anayofanya yanalingana ???????Hii imekaaje? Yaani ukimbie umande mwenyewe wakati mwenzako kakomaa mpaka kapata PhD halafu unanuna?
Tuache ghilba na chuki dhidi ya wasomi wetu. Kama hatukupata nafasi ya kusoma mpaka PhD tusiendekeze chuki itazidi kutuumiza sisi Kiwango Duni (KIWADU).
Mwenye PhD anapaswa kufanyaje? Akienda dukani ana bei tofauti? Acheni wasomi wetu wapumueHakuna anaechukiwa Bali lazima ulinganishe kuwa PHD na Yale anayofanya yanalingana ???????
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa Kama una PhD alafu utumbo unao ufanya hauendani na Elimu hyo tukuitaje sasaMwenye PhD anapaswa kufanyaje? Akienda dukani ana bei tofauti? Acheni wasomi wetu wapumue
Nilipataga scholarship ya kusoma PhD sasa kuna mzee mmoja Professor nikaenda kumweleza hiyo habari na kumtaka ushauri. Alichoniambia ni kwamba kwa nafasi uliyonayo ambayo hata PhD holders wanaitamani usipoteze muda kwenda kusoma Zaidi, elimu uliyonayo inakutosha usiende kujaza maelimu halafu ukakutana na matarajio tofauti ukawa frustrated. Nilichukua ushauri wake sikwenda na sijutii .
Wengi wa PhD holders walitegemea kupata matokeo makubwa kimadaraka na kifedha na baada ya kukutana na utofauti wanaishia kudata tu. Kuna mmoja aliingia kujenga fensi mpk ndani ya eneo langu sehemu Fulani nilikuwa nimepanunua nimepaacha. Siku niliyoenda akaniletea nyodo wakati mpk huko kwenye hati halali kabisa. Nilichukua Tingatinga nikabomoa mchana kweupe baada ya kujiridhisha kuwa kavamia. Jamaa alipaniki kaenda polisi mie nikaenda kwa wakili wangu na watu wa Ardhi. Kufika pale anasema unajua mie ni Dokta, nikamwambie kajambe ukanye, kama ungekuwa na akili usingeshindwa kusoma Ramani ya kiwanja
Tulimshtaki na alitulipa Fidia




Jamaa fix tupu
Kama Elimu uliyoipata haijafuta ujinga bali umekariri vitabu, tegemea kudharauliwa milele.
Unachokizungumzia sijawahi kukiona. Nilichokiona ni wenye hizo PhD wengi wao hawajui kutangamana na binadamu wenzao ndani ya jamii.
Mara nyingi kwa sehemu ya elimu waliyoipata huwa wanawadharau wale wengine ambao hawajapata sehemu ya elimu kama waliyopata wao. Wanakuwa na viburi na dharau.
Matokeo yake yanakuwa huo uzi uliyouleta wewe. Hawachukiwi kwa sababu ya elimu yao, wanachukiwa kwa sababu ya mienendo yao ya kutangamana na watu ndani ya jamii.